Mheshimiwa Msigwa anamsubiri Mzee Abdulrahmani Kinana apeleke kesi Mashakamani,hivyo alichozungumza Bungeni kuhusu ujangili na uhayawani wa KINANA HAWEZI KUKIZUNGUMZA TENA maana alishakamilisha.Kuhusu suala la WAMACHINGA IRINGA kesi iko mahakamani si vizuri kuiongelea tena.Alishawahi pia kusema TATIZO LETU KUBWA:AKILI NDOGO KUONGOZA KUBWA NA AKILI IULIYOZALISHA TATIZO KUJARIBU KUTATUA TATIZO:Kiuchungaji ameshamaliza mahubiri.Kama hadi hapo uko upande wa CCM wewe ni akili ndogo na tena akili iliyotufikisha NCHI NZIMA hapa tulipo,na hakika CCM HAITAWEZA KUTUTOA