Serikali ni kiboko haimuogopi mtu hasa kupitia kwa kamuhanda Kwani yeye hajui huko kuna KABANG
Kesi zinazidi siku hadi siku, ikidondoka moja tu ni KABANG
Kweli JF kiboko,nilikuwa na mastress lakini baada ya kusoma hii thread nimecheka mpaka
machozi yananitoka na mastress kwishia mbali.Kiukweli makamanda mmetisha kwenye huu uzi
mpaka mtu kala BAN'
Mheshimiwa Msigwa anamsubiri Mzee Abdulrahmani Kinana apeleke kesi Mashakamani,hivyo alichozungumza Bungeni kuhusu ujangili na uhayawani wa KINANA HAWEZI KUKIZUNGUMZA TENA maana alishakamilisha.Kuhusu suala la WAMACHINGA IRINGA kesi iko mahakamani si vizuri kuiongelea tena.Alishawahi pia kusema TATIZO LETU KUBWA:AKILI NDOGO KUONGOZA KUBWA NA AKILI IULIYOZALISHA TATIZO KUJARIBU KUTATUA TATIZO:Kiuchungaji ameshamaliza mahubiri.Kama hadi hapo uko upande wa CCM wewe ni akili ndogo na tena akili iliyotufikisha NCHI NZIMA hapa tulipo,na hakika CCM HAITAWEZA KUTUTOA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.