Kwani Peter Msigwa alifanywa nini polisi?

Kwani Peter Msigwa alifanywa nini polisi?

Ushawahi kunywa juice ya ugali?jaribu ni nzuri kwa afya yako!inaongeza nguvu za kiume

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Jamaa alimsevu hawara salimu akimaanisha salima akashtukiwa akabadili jina akamsave BATTERY LOW, siku alipokua anaoga hawara akabeep mkewe alipoangalia aliebip akaona battery low akaenda kuchomeka kwenye chaji jamaa akasave msala.
 
Lizaboni na kibwete wamemuua afisa usalama mwenzao na kumtumbukiza kisimani hiyo yote ni katika kuitumikia ccm.
 
Kuna nyimbo moja inaitwa mbulula mbulula mbululaaaaa......, hivi kaimba nani?, mwenye link ya huu wimbo msaada pls!
 
Kwani wanadam wengine tukoje jamani??????????
Mtu akinyamaza tunahoji, akiongea tunahoji, sasa tunataka ashout tu hata pale pasipo na sababu ya kushout? Think twice
 
Jamaa alimsevu hawara salimu akimaanisha salima akashtukiwa akabadili jina akamsave BATTERY LOW, siku alipokua anaoga hawara akabeep mkewe alipoangalia aliebip akaona battery low akaenda kuchomeka kwenye chaji jamaa akasave msala.

aiisee nimeipenda hii kweli jf ni shule

 
Nataka niwe Mwanachama wa Yanga nipeni hints

hawaruhusu mabubu wasemaovyo,kwa taarifa zaidi soma rasimu ya katiba mpya ya JMT kuhusu haki ya bubu asemae, ibara ndogo..152(a) hadi (c) inapiga marufuku bubu kumuoa bubu mwenzake lakini hairuhusu bubu huyo huyo kuolewa na mtu asiye bubu......kwa taarifa za kina muone MSAJIRI WA VIFO NA VIZAZI WA WILAYA YAKO.
 
Back
Top Bottom