GE2025 Kwako ndugu January Makamba

GE2025 Kwako ndugu January Makamba

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
Oya wewe kiazi yule sio level zako jiangalie kijana
 
Sijapenda kabisa walichokifanya Moderator na sijajua kwanini wameruhusu jambo hili kumpatia mtu ID inayofanana na mimi isipokuwa kwa herufi moja tu. Hii siyo sawa na siyo haki hata kidogo.
Madhara ya multiple IDs ndio haya unaandika huku unajijibu huku dustbin
 
Yesu alisema shetani akimpinga shetani mwenzake ufalme wao wa mashetani utakuwa umefarakana
 
Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
Labani og Siokweri kua kapoteza mvuto kumbuka jiwe alimtumia ilikuirudisha tanesco na ile misimamo aliomupa .Hata saa100 nae alimupa kitengo kwaajiri ya kukamilisha kitu frani na ku Mweka bench kulikuja baada ya janja watu kuanza kumwandaa Kama mgombea ugumu # Huyu janja usimimpe time ya kujielezea chapu anakuteka.huyu anajiweza na ana miradi mingi mikubwa ukiambiwa unaweza kimbia hivyo mutu Kama ndugu Lucas mwashamba kumu diss kiaina nikujitekenya naninashangaa vijana hatupendani tunataka wazee watuongoze
 
Daah sijui Kwanini makamba kapoteza mvuto ghafla now days ......

Zamani January makamba alikuwa na mvuto wa pekee Hadi akaitwa presidential material

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
J Makamba ana kipaji cha utapeli hivyohivyo unavyoona hana mvuto ila usimpe dakika ya kujitetea utamuona malaika , ni mzee wa fix nyingi
 
Madhara ya multiple IDs ndio haya unaandika huku unajijibu huku dustbin
Hilo lijamaa halijitambui kabisa. Limejiunga leo kwa kutumia ID inayofanana na jina langu. Sasa nashangaa imekuwaje Jamii Forum waruhusu kitendo cha aina hiyo kufanyika. Hii ni kutaka kunichafua . Lakini pia ni kushusha hadhi na heshima ya jukwaa hili.
 
Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
😁😁😁
 
Back
Top Bottom