Wewe kunguni umesoma mwongozo wa JF kuhusu majina au unadandia tu na kujiliza hapa.?Hilo lijamaa halijitambui kabisa. Limejiunga leo kwa kutumia ID inayofanana na jina langu. Sasa nashangaa imekuwaje Jamii Forum waruhusu kitendo cha aina hiyo kufanyika. Hii ni kutaka kunichafua . Lakini pia ni kushusha hadhi na heshima ya jukwaa hili.
Acha kuwa mvivu na kilaza kama huyu wakili wa serikali kwenye kesi ya Lissu.
Kasome mwongozo.