Nani mshindi sasa
Member
- Jul 29, 2025
- 11
- 6
Kuna teuzi inamsubiri.
Huna akili .Wacha ubwege wewe kilaza, huyo jina lake ni Lucas mwashamba na wewe ni Lucas Mwashambwa tatizo liko wapi au unayo hati miliki wa hayo majina yote?
Mripoti kwa moderator watampiga pinHilo lijamaa halijitambui kabisa. Limejiunga leo kwa kutumia ID inayofanana na jina langu. Sasa nashangaa imekuwaje Jamii Forum waruhusu kitendo cha aina hiyo kufanyika. Hii ni kutaka kunichafua . Lakini pia ni kushusha hadhi na heshima ya jukwaa hili.
Sio lazima uzaliwe Gamboshi hata Moshi wachawi wapo ....Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
Mwashambwa na Mwashamba.Lucas Mwashambwa
Watu mnapenda kucopy vya watu hata sio sawa.
Moderator hii sio sawa nasimama na shemegi angu chawa mwandamizi Lucas
Hivi kumbe na wewe unajua kuna kitu kinaitwa haki?Sijapenda kabisa walichokifanya Moderator na sijajua kwanini wameruhusu jambo hili kumpatia mtu ID inayofanana na mimi isipokuwa kwa herufi moja tu. Hii siyo sawa na siyo haki hata kidogo.
Huna marindaHuna akili .
January Makamba ni bilionea🐼Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
Kama Mungu kampangia siasa ndiyo portion yake, it matters less Kwa wanadamu kumwangia....Just wish him all the best inatosha, kumwazia nduguyo mabaya ni ishara ya moyo wako kuwa mwovuDaah sijui Kwanini makamba kapoteza mvuto ghafla now days ......
Zamani January makamba alikuwa na mvuto wa pekee Hadi akaitwa presidential material
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Kalibu tububujikwe na machozi ndugu yangu
Hakika TUNDULISU katufikia
Anayeshusha hadhi na heshima ya hili jukwaa ni wewe na machawa wenzioHilo lijamaa halijitambui kabisa. Limejiunga leo kwa kutumia ID inayofanana na jina langu. Sasa nashangaa imekuwaje Jamii Forum waruhusu kitendo cha aina hiyo kufanyika. Hii ni kutaka kunichafua . Lakini pia ni kushusha hadhi na heshima ya jukwaa hili.
Mwashamba na mwashambwa katika moja na mbiliIga na kudondosha gazeti reeefuuuView attachment 3425135
NUKUU ZA LEOHuna akili .
Huna akili weweAnayeshusha hadhi na heshima ya hili jukwaa ni wewe na machawa wenzio
Huna ubongo weweHuna akili wewe
Sasa kama hujui Makamba kuachwa ni mkakati wa Kuja kuwa KATIBU MKUU WA CCM Baadae na pia kumuweka mbali na Skendo kwa ajili ya kuuchukua URAIS 2030 Wewe Mwashamba unajiita sijui CDE na wakati hujui linaloendelea kwa wahuni wenzako Yani uko Huko CCM Kama KIVUMISHI CHA IDADI mfano Kwamba, ambaye 😏😏pumbavuNimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu