kwaito ni lazima kwenye sherehe zetu??

ummu kulthum

JF-Expert Member
Feb 6, 2012
2,785
1,317
wapedwa za jion hii,wadau nimekuwa nikitatizika ndani kwa ndani nimeona leo niilete hii kitu hapa.hakuna harusi wala kitchen party na send off zinazofanyika bila kuwekwa hii kwaito. hivi huko kwao wanapiga nyimbo zetu kwenye sherehe zao?kila kitu tunaiga hata utamaduni wa southafrica tumeucopy na kupaste kwenye harusi zetu jamani yaan kwaito imegeuka sheria kwenye kila harusi.kwa walio oa /olewa hii miaka ya karibun hii kitu imewatokea. wapi msanja,mdundiko,mdumange na nyinginezo?inaniumaje sasa bibi / bwana harusi wanafanyishwa mazoezi ya kwaito eti wasitie aibu na ni ushamba wakati wimbo wa taifa hawaujui. wadau mawazo yenu yanahitaji tafadhali...
 
wapedwa za jion hii,wadau nimekuwa nikitatizika ndani kwa ndani nimeona leo niilete hii kitu hapa.hakuna harusi wala kitchen party na send off zinazofanyika bila kuwekwa hii kwaito. hivi huko kwao wanapiga nyimbo zetu kwenye sherehe zao?kila kitu tunaiga hata utamaduni wa southafrica tumeucopy na kupaste kwenye harusi zetu jamani yaan kwaito imegeuka sheria kwenye kila harusi.kwa walio oa /olewa hii miaka ya karibun hii kitu imewatokea. wapi msanja,mdundiko,mdumange na nyinginezo?inaniumaje sasa bibi / bwana harusi wanafanyishwa mazoezi ya kwaito eti wasitie aibu na ni ushamba wakati wimbo wa taifa hawaujui. wadau mawazo yenu yanahitaji tafadhali...

Ni fasheni tu, itapita!#
Umesahau nibebe au nimekuchagua wewe? Siku hizi sizisikii!
 
Tatizo mtu akifanya kitu wengine hupendezwa na kuiga hiko kitu ijapokuwa sio jadi au tamaduni zetu ni kupoteza/kupotosha uhalisia wa origin zetu...Ukiangalia thru the big picture si kitu kizuri kwa taifa la kesho(next generation)....
 
Dunia ni kama kijiji kmoja sasahivi. Wote n wamoja,hiyo usishange hlo mkuu. Na hiki kzazi cha digital vijana bila kwaito sherehe haijafana
 
Ni fasheni tu, itapita!#
Umesahau nibebe au nimekuchagua wewe? Siku hizi sizisikii!
Mkuu kuna nyimbo inaimba....ZUNGUKA,ZUNGUKA..ZUNGUKA, ZUNGUKA...... aisee mpaka inachosha.kila harusi ndio maharusi wanaingilia ukumbini. Siku hizi huwa nachelewa kuingia ukumbini....natime saa ya msosi ikifika.
 
Mdundiko ukumbini?? acha utani

mmmh hata mavumbini tunacheza kwaito,kwanini mdundiko usichezwe ukumbini?waliwezaje? tumemeshidwaje?

fally ipupa anakata mauno hadi majasho yanamtoka iweje mdundiko,msanja, na kadhalika?

kuna baadhi ya makabila wanacheza ki staarabu sana kama wagoni kama sikosee
 
Mkuu kuna nyimbo inaimba....ZUNGUKA,ZUNGUKA..ZUNGUKA, ZUNGUKA...... aisee mpaka inachosha.kila harusi ndio maharusi wanaingilia ukumbini. Siku hizi huwa nachelewa kuingia ukumbini....natime saa ya msosi ikifika.

yaaan unaingia ukumbini huoni tofauti yoyote na ulipoingia mienzi mitatu ya nyuma hakuna tofauti kabisa

embu tuwe wabunifu kwenye sherehe zetu nao waige
 
Kuna kamsemo ka zamani..."Afrika ni moja"
Mbona ndombolo ya Solo ilichezwa sana?
 
Kuna kamsemo ka zamani..."Afrika ni moja"
Mbona ndombolo ya Solo ilichezwa sana?

sikatai ndugu yangu one africa one blood in bimp voice...........
je wao wanacheza msanja,mdundiko,kwenye sherehe zao?
kwa nini tusipende vya kwetu.
nyumbani kwanza.........
af kubwa ni kuigeuza kwaito kama sheria kwenye harusi bila kwaito sherehe haijakamilika
 
Ni kwa sababu kwaito ina mvuto kuicheza,yaani we acha tu,sasa hapa bongo wasanii hawajui kubuni kitu kizuri
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom