kwaito ni lazima kwenye sherehe zetu??

hata za nyumbani hupigwa
lakini kwaito nayo ni muhimu kwani karibia kila mtu bila kujali kabila....ataicheza na kuimba
Sikatai uwepo wa kwaito na kweli inanoga ila nakataa katakata kuifanya kwaito sheria au kipaumbele kwenye harusi ya mluguru na mzaramo uzalendo uko wapi ndungu yangu.kumbuka nyumbani ni nyumbani hata kama ni pangala
 
Hehehe ni kweli kuna mabrazameni hucheza mazuri pia but I always get amazed by how excited ladies become when kwaito plays...ni Kama wanapagawa

sioni kitufe cha like mbona?ila kwa madem utakuwa una la moyoni wewe............
 
Eeeeeh wazo nzuri sana ila wao wanacheza kwenye madisco sio kwenye harusi
Kumbuka hapo umetoa wazazi wako mgon'go,shelui waje wacheze harusi yako wanakutana na kwaito

Sijabahatika tu kwenda kwenye sherehe za harusi kule Kinshasa...lakini kwa Jinsi Bushoke alivyo maarufu, haiyumkiniki hata kwenye harusi ule muziki utakuwa unarindima... labda unambie, huo muziki anaopiga Bushoke, ni muziki wa Tanzania ama la?
 
Sijabahatika tu kwenda kwenye sherehe za harusi kule Kinshasa...lakini kwa Jinsi Bushoke alivyo maarufu, haiyumkiniki hata kwenye harusi ule muziki utakuwa unarindima... labda unambie, huo muziki anaopiga Bushoke, nimuziki wa Tanzania ama la?

sidhani na sibishi,ukibahatika au ukimuuliza mtu wa huko kama kweli wanapiga hii miziki yetu,itakuwa nijambo jema
 
Kwa ufupi,hyo style wanayosema kwaito ht huko south hawachezi hvyo. Maharusini watacheza kwaito but kila harusi differently na kwa mvuto zaidi. Sisi ni styl moja mpk inakera...
 
Hahahahaha,umenifurahisha eti wimbo wa taifa hawaujui bhac hao wafanyiwe suprise cku iyo wataingia ukumbini na mungu ibariki........yan iyo kwaito kwenye sherehe imekua kero sasa
 
alafu kucheza hawajui basi tabu tupu!! waachieni wasauz wenyewe wanaojua kudance wabongo twarusha miguu tuu
 
Kwa ufupi,hyo style wanayosema kwaito ht huko south hawachezi hvyo. Maharusini watacheza kwaito but kila harusi differently na kwa mvuto zaidi. Sisi ni styl moja mpk inakera...

Mdau umesema vyema sana ingekuwa hata inavionjo vipya hakuna na wanakamati eti wanangangania kipengele cha kwaito ishhhh na Mungu atuongoze tupende vya kwetu
 
alafu kucheza hawajui basi tabu tupu!! waachieni wasauz wenyewe wanaojua kudance wabongo twarusha miguu tuu[/QUOTE

Af umkute sister du anamiguu mirefu kaiunganisha na kiatu kirefuuuuuuu inakuwa n kicheko kwa kweli
 
Hahahahaha,umenifurahisha eti wimbo wa taifa hawaujui bhac hao wafanyiwe suprise cku iyo wataingia ukumbini na mungu ibariki........yan iyo kwaito kwenye sherehe imekua kero sasa

Yaaan huu ndio ukweli kuna watu hawaujui wimbo wa taifa kabisaaa wakati enzi zetu tulikuwa tunachapwa
 
Kuna movie nilikuwa naiangalia karibuni inaitwa '27 Dresses' nimeshangaa sana wazungu wanacheza kwaito kwenye harusi...mimi nilidhani asili yake South kumbe siyo bana....yani wanacheza same steps..unless nao wameiga South...Tena walikuwa wanacheza mziki wa Michael jackson....wa Southn ndio wamegeza...

Ila mimi napenda sana....ingawa sijuhi kucheza. Lol. nimepitwa
 
Back
Top Bottom