kwaito ni lazima kwenye sherehe zetu??

Dunia ni kama kijiji kmoja sasahivi. Wote n wamoja,hiyo usishange hlo mkuu. Na hiki kzazi cha digital vijana bila kwaito sherehe haijafana
Sahihi kabisa kwa vijana kucheza kwaito sipingi ila napiga kuigeuza sheria au ndio utamaduni wa kila harusi wapi tunakwenda ndugu yangu?msouth anacheza mdundiko kwenye sherehe zao?
 
mhhh ukute sasa masista duu wanavyoicheza kwaito kwa viuno!!! na kwenye viuno yanachezwa mabega!!!
wallahi bora tungeiga mganda!!!
 
Shostii Masaa-el-heri, kwani kwaito ina chezwajee ? au ni ya aina ipi? Tafadhali hata kapicha nipate taswira. Shukraan!
Nilidhani ni mimi tu ndo sijui..hebu tuwekee hata nyimbo moja mkuu ummu kulthum na sisi tuone hii kwaito inachezwaje.
 
Last edited by a moderator:
wapedwa za jion hii,wadau nimekuwa nikitatizika ndani kwa ndani nimeona leo niilete hii kitu hapa.hakuna harusi wala kitchen party na send off zinazofanyika bila kuwekwa hii kwaito. hivi huko kwao wanapiga nyimbo zetu kwenye sherehe zao?kila kitu tunaiga hata utamaduni wa southafrica tumeucopy na kupaste kwenye harusi zetu jamani yaan kwaito imegeuka sheria kwenye kila harusi.kwa walio oa /olewa hii miaka ya karibun hii kitu imewatokea. wapi msanja,mdundiko,mdumange na nyinginezo?inaniumaje sasa bibi / bwana harusi wanafanyishwa mazoezi ya kwaito eti wasitie aibu na ni ushamba wakati wimbo wa taifa hawaujui. wadau mawazo yenu yanahitaji tafadhali...

aisee ni kweli halafu mbaya zaidi hata hatuelewi tunaimba nini. kuna harusi moja wazazi walitambulishwa kwa ile 'sawa sawa sawale' baadae nikaja kutafsiriwa kumbe ni matusi mazito. Juzi juzi wabongo wanacheza 'personally' ya naijeria harusini sasa najiuliza hawa watu hawajui ngeli au? mbona sio mziki wa sherehe tukufu kama harusi?
 
Back
Top Bottom