ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
- Thread starter
- #21
nakuunga mkono tena bonge la uzalendoBora wapigiwe wimbo wa taifa...
Period!!!!
nakuunga mkono tena bonge la uzalendoBora wapigiwe wimbo wa taifa...
Period!!!!
Kwenu wapi ndugu yangu nataman niwaone harusi zenu mnaendeshaje?sisi kwetu litungu kama kawa hiyo kwaito ni huko kwenu.
Najivunia kuwa mtanzania ndugu yangu ila sijivunii kucheza kwaito kabisa tena kwenye harusi zetu afadhali na iwe clubNi kwa sababu kwaito ina mvuto kuicheza,yaani we acha tu,sasa hapa bongo wasanii hawajui kubuni kitu kizuri
Najivunia kuwa mtanzania ndugu y Sasa ukiachilia kwaito unadhan unaweza kubadili watu waspge
Sahihi kabisa kwa vijana kucheza kwaito sipingi ila napiga kuigeuza sheria au ndio utamaduni wa kila harusi wapi tunakwenda ndugu yangu?msouth anacheza mdundiko kwenye sherehe zao?Dunia ni kama kijiji kmoja sasahivi. Wote n wamoja,hiyo usishange hlo mkuu. Na hiki kzazi cha digital vijana bila kwaito sherehe haijafana
eeeeeeh!st.A,mabadiliko ni mimi na wewe,kwa pamoja tunaweza!kwaito kitu gani bana ndani ya makabila 25 kama sikosee.tunaweza mkubwa!Najivunia kuwa mtanzania ndugu y Sasa ukiachilia kwaito unadhan unaweza kubadili watu waspge
huu wimbo nimekuchagua wewe kumbe upo khaaa kweli nyimbo nikama upepo tu ikipita ndo byebye ,japokuwa kuna nyingine hazichujiNi fasheni tu, itapita!#
Umesahau nibebe au nimekuchagua wewe? Siku hizi sizisikii!
Dahhh tusubiri sijui ni lini?sipendi hii wakianza tu kucheza huwa natoka njeNi fasheni tu, itapita!#
Umesahau nibebe au nimekuchagua wewe? Siku hizi sizisikii!
huu wimbo nimekuchagua wewe kumbe upo khaaa kweli nyimbo nikama upepo tu ikipita ndo byebye ,japokuwa kuna nyingine hazichuji
Hahaha nikikuonyesha tu utaiga nami staki iwe hivyo hawa cjui ma frii m au?natania bana googleShostii Masaa-el-heri, kwani kwaito ina chezwajee ? au ni ya aina ipi? Tafadhali hata kapicha nipate taswira. Shukraan!
Mashkuraan, nimekupata ntacheki for info.Hahaha nikikuonyesha tu utaiga nami staki iwe hivyo hawa cjui ma frii m au?natania bana google
Nilidhani ni mimi tu ndo sijui..hebu tuwekee hata nyimbo moja mkuu ummu kulthum na sisi tuone hii kwaito inachezwaje.Shostii Masaa-el-heri, kwani kwaito ina chezwajee ? au ni ya aina ipi? Tafadhali hata kapicha nipate taswira. Shukraan!
Yaaaan nakereka sana sasa bibi harusi mnyiramba bwana harusi mnyaturu pure kwaito ya nini hapa kinachoibwa hakijulikani kwa wote mpaka waalikwa ishhh!ni moja ya kujiona hujapitwa
Nashangaaaaaa jamani... kwaito ndo habar ya mjin
yaaaan nakereka sana sasa bibi harusi mnyiramba bwana harusi mnyaturu pure kwaito ya nini hapa kinachoibwa hakijulikani kwa wote mpaka waalikwa ishhh!
rafiki nimekuelewa lkn hapa ninakamchina,just google utayaona hayo majonjo ya wenzetuNilidhani ni mimi tu ndo sijui..hebu tuwekee hata nyimbo moja mkuu ummu kulthum na sisi tuone hii kwaito inachezwaje.
wapedwa za jion hii,wadau nimekuwa nikitatizika ndani kwa ndani nimeona leo niilete hii kitu hapa.hakuna harusi wala kitchen party na send off zinazofanyika bila kuwekwa hii kwaito. hivi huko kwao wanapiga nyimbo zetu kwenye sherehe zao?kila kitu tunaiga hata utamaduni wa southafrica tumeucopy na kupaste kwenye harusi zetu jamani yaan kwaito imegeuka sheria kwenye kila harusi.kwa walio oa /olewa hii miaka ya karibun hii kitu imewatokea. wapi msanja,mdundiko,mdumange na nyinginezo?inaniumaje sasa bibi / bwana harusi wanafanyishwa mazoezi ya kwaito eti wasitie aibu na ni ushamba wakati wimbo wa taifa hawaujui. wadau mawazo yenu yanahitaji tafadhali...