kwaito ni lazima kwenye sherehe zetu??

sisi kwetu litungu kama kawa hiyo kwaito ni huko kwenu.

Mimi nawashangaa hawa watu! mbona sisi tunacheza litungu hadi kwenye kumbi za maghofa na viyoyozi? inaonekana kujidharau kunachangiwa na asili ya makabila.
 
Dunia ni kama kijiji kmoja sasahivi. Wote n wamoja,hiyo usishange hlo mkuu. Na hiki kzazi cha digital vijana bila kwaito sherehe haijafana

Kama tumekuwa wamoja kutokana na utandawazi sema kama umewahi kuona wazungu wanapiga music wa kitz kwenye sherehe zao? ina maana vyetu siyo vizuri?
 
Aache utani gani? acha kujidharau na kudharau vya kwenu, kila siku watz wanaenzi ya wengine ndio maana hakuna maendeleo ya kiutamaduni.
shukran kwa kuliona hili yaaaan siye kila kitu chetu kibaya cha wenzetu kizuri,wamesahau hata ile methali inayosema.....mdharau kwao mtumwa
 
Mimi nawashangaa hawa watu! mbona sisi tunacheza litungu hadi kwenye kumbi za maghofa na viyoyozi? inaonekana kujidharau kunachangiwa na asili ya makabila.

Baadhi ya makabila pia ni tatizo kubwa sana hawajikubali kama wanaweza
 
Kama tumekuwa wamoja kutokana na utandawazi sema kama umewahi kuona wazungu wanapiga music wa kitz kwenye sherehe zao? ina maana vyetu siyo vizuri?

Big up mkubwa subiri like,napenda watu wenye mawazo chanya kama ww!

Kwa nin siye?
 
sikatai ndugu yangu one africa one blood in bimp voice...........
je wao wanacheza msanja,mdundiko,kwenye sherehe zao?
kwa nini tusipende vya kwetu.
nyumbani kwanza.........
af kubwa ni kuigeuza kwaito kama sheria kwenye harusi bila kwaito sherehe haijakamilika

Tukiboresha muziki wetu, tukauweka kwenye santuri, youtube n.k utaonekana na wataucheza tu.
Mbona Kinshasa kwenye madisko yao wanapiga sana muziki wa Max Bushoke - Mume B.w.e.ge?
 
Tukiboresha muziki wetu, tukauweka kwenye santuri, youtube n.k utaonekana na wataucheza tu.
Mbona Kinshasa kwenye madisko yao wanapiga sana muziki wa Max Bushoke - Mume B.w.e.ge?

Eeeeeh wazo nzuri sana ila wao wanacheza kwenye madisco sio kwenye harusi
Kumbuka hapo umetoa wazazi wako mgon'go,shelui waje wacheze harusi yako wanakutana na kwaito
 
  • Thanks
Reactions: ram
Mkubwa nakukatalia kabisa hii bila reheso haichezeki wezako wakigeuka we unarusha mguu au unainamisha bega

mkuu nakuhakikishia hii ndiyo staili pekee mnayoweza kufanya shoo hata kama ndiyo mmekutana kwa mara ya kwanza.....
siyo kwenye sherehe tu , hapa kilabuni.
 
mimi naona hiyo kwaito kuchezwa kila harusi ni sehemu wa wadada kujionyesha. women be going nuts when kwaito starts to play, wanakimbilia mbele dance floor na high heels zao like Prince on stage. Wakifika ni kujibinua binua huku wanatupa jicho kwa audience ha ha ha. Haya bwana, yote maisha.
 
mimi naona hiyo kwaito kuchezwa kila harusi ni sehemu wa wadada kujionyesha. women be going nuts when kwaito starts to play, wanakimbilia mbele dance floor na high heels zao like Prince on stage. Wakifika ni kujibinua
binua huku wanatupa jicho kwa audience ha ha ha. Haya bwana, yote maisha.

Ha ha ha umenichekesha sana ndugu yangu ila hata ma brazamen huwa wanacheza.
 
Ni muendelezo ule ule....

Nimeangalia leo kipindi cha bibi bomba mawingu tv yaan nikastaajabu kabisa au mie ndio mshamba wenzangu?
Kipindi ni bibi bomba Tanzania, sound track wimbo wa kukere Nigeria

Ivi hatuna nyimbo za kuweka sound track?
 
kwaito inanoga mno
hasa mkiwa wengi
Sikatai uwepo wa kwaito na kweli inanoga ila nakataa katakata kuifanya kwaito sheria au kipaumbele kwenye harusi ya mluguru na mzaramo uzalendo uko wapi ndungu yangu.kumbuka nyumbani ni nyumbani hata kama ni pangala
 
Back
Top Bottom