ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
- Thread starter
- #81
Kuna movie nilikuwa naiangalia karibuni inaitwa '27 Dresses' nimeshangaa sana wazungu wanacheza kwaito kwenye harusi...mimi nilidhani asili yake South kumbe siyo
bana....yani wanacheza same steps..unless nao wameiga South...Tena walikuwa wanacheza mziki wa Michael jackson....wa Southn ndio wamegeza...
Hiyo movie naisaka leoleo
Ila mimi napenda sana....ingawa sijuhi kucheza. Lol. nimepitwa
Mi siipendi kabisa na sina sababu ya kuijua acha tu nionekane wa juzi mkubwa