Kwaherini JF

Status
Not open for further replies.
ni kweli enyew nimepata huzuni ila ndo hivyo, sijui familia yake watakua kwenye hali gani,, Yote kwa yote Mungu anaweza kumsaidia tujipe imani ila ikishindikana basi hakuna namnaπŸ˜”

Familia yangu hakuna anyejua naumwa nini

Nataka nife kimya kimya kama ikiwezekana before mwisho wa wiki inayoanza, sitasubiri miezi miwili
 
Familia yangu hakuna anyejua naumwa nini

Nataka nife kimya kimya kama ikiwezekana before mwisho wa wiki inayoanza, sitasubiri miezi miwili
bro mbona umeamua kuficha siri nzito namna hiyo?,, yamkini wangeweza kufanya jambo asee au ulipanga kufa? umefurahi sio?,, basi Mungu alivyo wa ajabu hauwezi kufa aibu utaona wew
 
πŸ™πŸ™
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…