Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 5,142
- 5,658
π Maybe mtu yupo serious nyie mnaleta jokesWikiend tushaambiwa ukilewa tusichart haya sasa ndo mazara yake
πYu bera wochi u baki
Ni kama umemtukana MUNGU japo unaona upo sawa,
Iko hivi wakati wewe unapretend kunawenzio wanaishi ukweli wa hicho unachokifanyaβ¦You did it for attention sawa,sababu ni ipi?
Kwa ufupi Joanah wewe ni mtu ambaye hatujazoeana kwa maandishi japo ni mmoja wa familia yangu kwenye jukwaa hili,sikuonei aibu na niseme UMEKOSEA SANA.
Ikiwa huwezi kuandika kwa lengo ya kufundisha au kuburudisha ni vyema uwe kimya kwa kupitia nyuzi za watu na kulike tu ili ikiwa wapo wanaokufahamu wajue uko sawa(INATOSHA).
I love you Joanah
Joanah, nimesikitika sana kusikia changamoto hii, lakini nataka ukumbuke kuwa wewe ni mpiganaji na una nguvu kubwa ndani yako. Katika Jukwaa tumekujua kama mtu wa msimamo, na hata sasa usikate tamaa; kila siku mpya ni ushindi na fursa ya kuishi kwa tabasamu na amani. Sisi kama familia yako ya JF tuko nyuma yako kukushika mkono.
Umbali siyo tatizo, ninakupenda Joanah!..
Sala yangu kwako leo: Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema na faraja, akushushie amani inayopita ufahamu wote wa wanadamu. Akupe nguvu mpya kwenye mwili na roho yako, akuepushe na hofu, na akujaze matumaini makuu. Tunajua hakuna linaloshindikana mbele zake; Mungu akufanyie wepesi na miujiza ya uponyaji, na akuzungushie upendo wake kila sekunde ya maisha yako. Amen."
πππ kume chafukwaHuu ndo upuuzi wa JF
Ulichoandika hapo natakiwa nikushike matakko huku nikikuaminisha sio?
Fvck off mzee
Lengo la uzi sio kubembeleza mtu aamini
Ndo umetoa hata picha kwenye aviatorMkuu ππ
Fanya mpango wa kuniletea Kiko kabla hujaondoka mjukuu π₯² (jokes)
Kwa kweli nimesikitika kusikia habari hizi, nashauri kama Kuna nafasi nenda urudie kupima kufanya ulinganisho wa majibu (Madaktari nao hupitiwa)
Kuugua saratani sio mwisho wa maisha
Ni matumaini yangu yule aliyekuumba, anaweza kukupa miaka mwingine ya kuishi
Kama aliweza kumpa miaka mingine 15 Mfalme Ezekiel hawezi kushindwa kukupa wewe miaka mingine zaidi (2 Wafalme 20:6)
Mungu aendelee kukutunza mjukuu ππ
Nahisi hizo taarifa angezipuuzia tu, labda wamwambie ni cancer ya stage gani...
Tuishi humo bro we uko vizuri, cancer haidanganyi Dr mpaka akwambie baada ya miezi miwili hautakuepo hapo wewe utakua unajiona kabisa sifiki jioni.sina maumivu na wala sijisikii kuumwa kabisa lakini taarifa iliyopo ni hiyo