Hili suala la cut point za kuingia chuo kikuu zilipandishwa na waziri wa Elimu kipindi hicho (Ndalichako) kiliwaumiza wengi wengi sana hasa watumishi wa umma wenye kutaka kujiendeleza kielimu.
Wiziri alipandisha kwenda cut point 4 Kila chuo badala ya cut point 2 hili suala liliwaumiza vijana wengi wenye ndoto ya kusoma badala yake wapo vijiweni wasijue cha kufanya.. watumishi wa umma wengi wanashindwa kujiendeleza kisa kigezo hicho.
NOTE
Tunaomba iwe kama zamani waliomaliza miaka ya 90s Hadi 2014 washushiwe cut point kama ilivyokuwa zamani kwenye vigezo vya kuingia chuo kikuu.
Wiziri alipandisha kwenda cut point 4 Kila chuo badala ya cut point 2 hili suala liliwaumiza vijana wengi wenye ndoto ya kusoma badala yake wapo vijiweni wasijue cha kufanya.. watumishi wa umma wengi wanashindwa kujiendeleza kisa kigezo hicho.
NOTE
Tunaomba iwe kama zamani waliomaliza miaka ya 90s Hadi 2014 washushiwe cut point kama ilivyokuwa zamani kwenye vigezo vya kuingia chuo kikuu.