Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,592
- 19,853
Sasa Gen Z ana nini cha kumshauri millennial au umechanganya madesa mkuušMaisha yanaenda kasi sana imagine Leo Millennials wanaomba nasaha kutoka kwa Gen Z.
Sasa Gen Z ana nini cha kumshauri millennial au umechanganya madesa mkuušMaisha yanaenda kasi sana imagine Leo Millennials wanaomba nasaha kutoka kwa Gen Z.
Haswa!Point of no return? Maana hakuna tunachoweza kusahihisha mkuu. Unataka kusema mtu akiwa 45 ndio shughuli yake imeishia hapo?
Unaona mnavyotupa wazee stress, badala ya kutupa maneno mazuri unaanza kusema nikigeuka 50 hii hapa.Haswa!
sasa mzee wa 45yrs utafanya nini ukijeuka kdg tu 50 hio hapo
I wanna be young ForeverUnaona mnavyotupa wazee stress, badala ya kutupa maneno mazuri unaanza kusema nikigeuka 50 hii hapa.
Nikuambie kitu Red Black, life's too fast. Nakumbuka 2000 Mkapa akitoa malemgo ya nchi 2025, niliona mbali sana, nikiwa kijana mdogo tu. Look now, 2025 imeshapita.
Maana yangu nini, wake up call kwa nyie mnaodhani muda hauendi na ujana utabaki mda mrefu, actually ujana ni kipindi kifupi sana.
Sako kwa bako!Gen z Wana ukweli na uhalisia, Wanaujasiri wa kushauri wasichokijua kama Mapadri wanavyoshauri Ndoa wakati hawana. Anyway Gen z they call a spade a spade.
1980-1997Hivi millennia wanaanzia 81? Tayari wale wa 80s wanaanza kuzeeka, mvi nyingi, vipara vya kutosha!!
Mtoa mada ni Millenial humu wengi walio-take over ni Gen Z.Sasa Gen Z ana nini cha kumshauri millennial au umechanganya madesa mkuuš
Hapa majanja hawatakuelewaMaana yangu nini, wake up call kwa nyie mnaodhani muda hauendi na ujana utabaki mda mrefu, actually ujana ni kipindi kifupi sana
Alafu gonga nyapu sanaKula vizuri
Fanya mazoezi
Pumzisha mwili wako (Lala kuanzia masaa 8)
Pia fuata hii chat hapa chiniš
View attachment 3553054
Unaliona Kaburi LinakukonyezašHaswa!
sasa mzee wa 45yrs utafanya nini ukijeuka kdg tu 50 hio hapo
Karibu sana 4th floor mdogo wanguš¤£š¤£Oooh!!!!!!!? Natarajia kuingia 40 miezi kadhaa ijayo.
Mpaka hapa nilipo mahitaji katoto ka moja ka mwisho.
Matunda kwa wingi,, mboga za majani pia natural detox. Situmii vipodozi vyenye kemikali.
Shambani ndo tumewekeza .