Kwa wenye 45+, mambo gani ya kuzingatia?

Kwa wenye 45+, mambo gani ya kuzingatia?

Sasa na sisi 35s tufanye nini na mipango bado haina ramani? Ikifika huko 45s si ndo basi tena. Maisha yanamengi sana sababu hayakupi majibu ya moja kwa moja tu. Mda mwingine nawaamini wale wasemao maisha hayana maana ila wewe mwenyewe waweza kuyapa maana ndo huko mwingine anakuja kulijua hili tayari 45s. Maisha bhana!!
Ni kupambana mkuu, hakuna shortcut.
 
Wale tunaopenda dogodogo, tuache kabisa au tupunguze?
Acha kabisa. Kwa kuzingatia kuwa hauko peke yako, Mfanoi hai, Angalia hapa nini kilichomkuta huyu penda dogodo:
1772767946196.png
 
Kuendekeza ndio kuwa nao wangapi?

Ushauri mzuri sana japo hatuwapangii watu, ukiwa na 45+ kuanza kutafuta watoto sio kabisa, japo kuna wale wa uzeeni, inasemekana ni wa muhimu sana. Baba yangu alinitaguta akiwa around 44🤣🤣
Watoto wa uzeeni ni wazuri kwasababu unakua unaishi nao na kukuhudumia, lakini ukizaa mapema watoto wote wanaondoka Nyumbani unabakia peke yako nyumba unaiona kubwa mnoo,ni muhimu kuzaa mtoto wa mwisho awe mdogo na Baba uwe na Miaka 60 ili mtoto akifikisha miaka 25 Baba unakua na miaka 85 anbayo inakua ngumu kufika
 
Watoto wa uzeeni ni wazuri kwasababu unakua unaishi nao na kukuhudumia, lakini ukizaa mapema watoto wote wanaondoka Nyumbani unabakia peke yako nyumba unaiona kubwa mnoo,ni muhimu kuzaa mtoto wa mwisho awe mdogo na Baba uwe na Miaka 60 ili mtoto akifikisha miaka 25 Baba unakua na miaka 85 anbayo inakua ngumu kufika
Uzae mtoto ukiwa na miaka 60? Kuna jamaa yangu mngonu ana 57 juzi tu kapata baby girl wake na ana furaha kabisa.

Kimsingi(japo sio kanuni) miaka 45 unatakiwa uwe umemalizana na kutafuta watoto.
 
Kwamba kwenye minada yote wanaonunua ni watekaji hakuna raia wa kawaida wanaonunua.
Viongozi wote wa hii serikali BATILI wamesheheni huko kwenye government bonds kwa mitaji ya MABILIONI. NI kapuku gani mwenye mtaji wa milioni 50 atasikilizwa huko? Achaa siasa ndugu.
 
Kila mtu ana milestone alizopangiwa na Mola wake. Kuna watu wamejenga nyumba nzuri in their 50s, 60s nk. Kuna watu wameendesha magari mazuri late in life. Ingawa ukifanikiwa in your 40s huna budi kushukuru. Ukweli usiosemwa ni kwamba waafrica wengi tunafanikiwa kwa kuchelewa…in our 50s nk. (Except kwa hizi pesa za wash wash za akina Bashite nk). Ingawa Kikubwa kuliko vyote kwa umri wetu in our 40s ni kuhakikisha una akiba. You can take care of yourself. Vinginevyo utajikuta umekuwa mzee wa kugawa laana kwa wale wasiokusaidia. Avoid kuwa mgawa laana at all costs.

So vijana msikate tamaa. Mafanikio hayana mda maalumu.
 
Back
Top Bottom