Kwa wanawake na wanaume

Kwa wanawake na wanaume

Eeeeeh haelewagi somo when it comes to his daughters. Yani sahau kabisa

Hakuna mzee hasiyeelewa somo..Ukiwa na binti lazima upate mkwe..Labda hao waliotangulia hawakujipanga ndo mana hawakueleweka...Degree yangu ya sanaa plus pesa nilizonazo lazima mzee aelewe tu..Hamna namna
 
Hakuna mzee hasiyeelewa somo..Ukiwa na binti lazima upate mkwe..Labda hao waliotangulia hawakujipanga ndo mana hawakueleweka...Degree yangu ya sanaa plus pesa nilizonazo lazima mzee aelewe tu..Hamna namna
Poyeee umechelewa bana, mabinti zake wote tushazeeka na tushaolewa. Labda nikuelekeze kwa jirani
 
Poyeee umechelewa bana, mabinti zake wote tushazeeka na tushaolewa. Labda nikuelekeze kwa jirani

Duuuh..Balaa gani hili..Kuzeeka sio tatizo..Hapo kwenye kuolewa sasa..Basi nimesarenda
 
Sio huyo tu na Kaveli nae, ila pandisha dau tu, doto wangu hatoki hivihivi, vigezo na masharti kuzingatiwa.

Hahahahaaa we kulwa bhana. FYI... hata wawepo kumi, namimi kwny foleni sitoki ng'o ! missyrose ndo anaesababisha niendelee kuwa hapa JF.
 
Last edited by a moderator:
Kwenye mapenzi wekeza kihisia, akili kafanyie kazi. Hayatakaa kuja kukusumbua. Alafu haya mambo ya sijui "Romantic Gentlemen" achana nayo. Jaribu kuwa mbaya hutakaa kuja kuumizwa kijinga.
 
Hakuna mzee hasiyeelewa somo..Ukiwa na binti lazima upate mkwe..Labda hao waliotangulia hawakujipanga ndo mana hawakueleweka...Degree yangu ya sanaa plus pesa nilizonazo lazima mzee aelewe tu..Hamna namna

Teh teh teh teh teh!!! Biashara matangazo, ila yako umeyaweka gizani hayaonekani.
 
Teh teh teh teh teh!!! Biashara matangazo, ila yako umeyaweka gizani hayaonekani.

Huyo mtt wa mzee Sent ndoa tu ndo imemnusuru vinginevyo ningebeba huyo
 
Heshima kwenu.


Inakuwaje mwanamke anadhubutu kumvulia nguo mwanaume mwingine tofauti na yule ambaye yupo naye.
Hii inatuumiza Sana sisi romantic gentleman's because
tukipenda ni bhasi and forever.

My girl/wife to'be nampenda Sana lakini amenikwaza na nimeumia Sana as a men. Kuna jamaa kutumia namba mpya amenirushia picha
Za utupu za wife to'be wangu niliyempenda na kumweshimu Sana.

Mapenzi ni kitu hatari Sana pale inapokuja swala la kuumizwa.
My girl hakuwahi hata kuvaa suruali wala nguo za ajabu usually anashono vitenge na hakuwahi kuvaa nguo fupi.



Nawaomba mnipe ushauri nini nifanye,
I never cry but now I do.


Way girls naomba mnipe na sababu way mnafanya hivyo kwa men wanaowapenda.



Joas u sound like boy not man ndo maana unagongewa! Subiri wakati wa 'Bwana' ufike ukue umpate wako!
 
Back
Top Bottom