Kwa wanawake na wanaume

Kwa wanawake na wanaume

Vipi utafikia dau?? Mwenye kisu kikali ndio atakula nyama

mmh sasa me mbona wallet yangu imesinyaa haswa! ila kwenye foleni sitoki ng'o, labda naweza pata ZALI kama lile la MENTALI. missyrose
 
Last edited by a moderator:
NAomba kujua kama kwenye huu uzi kuna mahali imesemwa kuwa alimkuta bikra?:ranger:
 
Heshima kwenu.

Inakuwaje mwanamke anadhubutu kumvulia nguo mwanaume mwingine tofauti na yule ambaye yupo naye. Hii inatuumiza sana sisi romantic gentleman's because tukipenda ni bhasi and forever.

My girl/wife to'be nampenda sana lakini amenikwaza na nimeumia sana as a men. Kuna jamaa kutumia namba mpya amenirushia picha
Za utupu za wife to'be wangu niliyempenda na kumweshimu sana.

Mapenzi ni kitu hatari Sana pale inapokuja swala la kuumizwa. My girl hakuwahi hata kuvaa suruali wala nguo za ajabu usually anashono vitenge na hakuwahi kuvaa nguo fupi.

Nawaomba mnipe ushauri nini nifanye,

I never cry but now I do.

Way girls naomba mnipe na sababu way mnafanya hivyo kwa men wanaowapenda.

images_C5_M4_QOT8.jpg
 
mmh sasa me mbona wallet yangu imesinyaa haswa! ila kwenye foleni sitoki ng'o, labda naweza pata ZALI kama lile la MENTALI. missyrose

Mnasemaga hivyo hivyo lakini kuna watu huwa mnawapa..teh teh
 
Last edited by a moderator:
kwenye sababu hapo zinaweza kuwa nyingi. Ni vema umuulize yeye mwenyewe nini chanzo.


Halafu aliyekwambia nguo za kushona hazivuliki ni nani?.

hahahah....eti "halafu aliyekwambia nguo za kushona hazivuliki ni nani?"......hata ukishona nguo za bati na chupi ya chuma na ufunge na solex watu tayari tuna master keys za hizo solex!!!!
 
hahahah....eti "halafu aliyekwambia nguo za kushona hazivuliki ni nani?"......hata ukishona nguo za bati na chupi ya chuma na ufunge na solex watu tayari tuna master keys za hizo solex!!!!

Hahaa..alisahau kama za kushona zina zipu..na sanyingine watu wanapandisha tu teh teh
 
Back
Top Bottom