Kwa wanawake na wanaume

Kwa wanawake na wanaume

Jamani eeeeh, mimi naamini cheating sio ajali ni maamuzi, mie huwa sina excuse kwa hilo kabisaaaa yaani sijui utanieleza nini, if you think am not gud for you ni bora uniache kuliko unicheat n viceversa.
 
Jamani eeeeh, mimi naamini cheating sio ajali ni maamuzi, mie huwa sina excuse kwa hilo kabisaaaa yaani sijui utanieleza nini, if you think am not gud for you ni bora uniache kuliko unicheat n viceversa.

Jamani..unaangalia mavazi tu. Kama anavaa mlegezo hafai,ila kama anavaa redimedi na satini usije muacha.
 
Pacha Shikamoo. Uache kuvaa vimini na suruale,zinavulika kwa wepesi..ha ha ha.

Hahahaaaa!! Daaah sijui lini nitaacha kuvaa hivyo, hata vitenge vinashoneka vimini ati, tena ndio vinanogaje!
 
mkuu unauhakika kuwa hizo pics ni za utupu? hepu ziweke hapa nasi tuthibitishe...... .Ila kama kweli unauhakika hujakosea basi we piga chini tu huyo girl mpe na hizo picha aone aibu yake...
 
Jamani..unaangalia mavazi tu. Kama anavaa mlegezo hafai,ila kama anavaa redimedi na satini usije muacha.

Hahahaaaa! Yaani mleta mada kanichekesha, eti alikuwa akivaa vitenge khaaaa! Vitenge hoyeeeeee.
 
mkuu unauhakika kuwa hizo pics ni za utupu? hepu ziweke hapa nasi tuthibitishe...... .Ila kama kweli unauhakika hujakosea basi we piga chini tu huyo girl mpe na hizo picha aone aibu yake...

Na kweli, ukute kaona kimini akahisi ni za utupu maana alishazoea vitenge virefu tu
 
Joasi

isije ikawa aliye mpiga picha ndie future Husband wake tena anamtafuta anaye tishia uhusiano wao !
 
Last edited by a moderator:
katotoo kumbe missyrose ni pacha wako..Nifanyie mpango basi..Nimempenda gafla

Jamani baba kuruthumu!! Ndio ile safari ya kutafuta mchepuko imeanza? junior.cux nae anamendea hapo hapo, haya jikusanyeni mkiwa wengi nawashindanisha kwa dau.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom