😱😱😱😱:what::what::what::what:
Heshima kwenu.
Inakuwaje mwanamke anadhubutu kumvulia nguo mwanaume mwingine tofauti na yule ambaye yupo naye. Hii inatuumiza sana sisi romantic gentleman's because tukipenda ni bhasi and forever.
My girl/wife to'be nampenda sana lakini amenikwaza na nimeumia sana as a men. Kuna jamaa kutumia namba mpya amenirushia picha
Za utupu za wife to'be wangu niliyempenda na kumweshimu sana.
Mapenzi ni kitu hatari Sana pale inapokuja swala la kuumizwa. My girl hakuwahi hata kuvaa suruali wala nguo za ajabu usually anashono vitenge na hakuwahi kuvaa nguo fupi.
Nawaomba mnipe ushauri nini nifanye,
I never cry but now I do.
Way girls naomba mnipe na sababu way mnafanya hivyo kwa men wanaowapenda.
nitawapa nini sasa wakati mifuko imetoboka. nina bahati ya kuwapata wanaotoa bure for pleasure. teh teh
Hahaa..Yawezekana. Lakini wanaume wengi wana that one person ambae hata asipoomba unajikakamua tu. Usibishe..teh teh
Aise pole sana
Sidhani kama pole ina saidia maeneo kama haya
Heshima kwenu.
My girl/wife to'be nampenda sana lakini amenikwaza na nimeumia sana as a men. Kuna jamaa kutumia namba mpya amenirushia picha
Za utupu za wife to'be wangu niliyempenda na kumweshimu sana.
Mapenzi ni kitu hatari Sana pale inapokuja swala la kuumizwa. My girl hakuwahi hata kuvaa suruali wala nguo za ajabu usually anashono vitenge na hakuwahi kuvaa nguo fupi.
Nawaomba mnipe ushauri .