Kwa wanawake na wanaume

Kwa wanawake na wanaume

Just let her go,u just thank God dat u know her true colour earlier.make de right decision other you will re great for de rest of ur life
 
Heshima kwenu.

Inakuwaje mwanamke anadhubutu kumvulia nguo mwanaume mwingine tofauti na yule ambaye yupo naye. Hii inatuumiza sana sisi romantic gentleman's because tukipenda ni bhasi and forever.

My girl/wife to'be nampenda sana lakini amenikwaza na nimeumia sana as a men. Kuna jamaa kutumia namba mpya amenirushia picha
Za utupu za wife to'be wangu niliyempenda na kumweshimu sana.

Mapenzi ni kitu hatari Sana pale inapokuja swala la kuumizwa. My girl hakuwahi hata kuvaa suruali wala nguo za ajabu usually anashono vitenge na hakuwahi kuvaa nguo fupi.

Nawaomba mnipe ushauri nini nifanye,

I never cry but now I do.

Way girls naomba mnipe na sababu way mnafanya hivyo kwa men wanaowapenda.


Amempata anayejua kusahihisha kwenye hizo red....BTW umri wako?
 
poooole aisee nguo sio sbabu ya kuto cheat...usiweke asilimia kubwa utaumia tuuwe mpende...tu...maana sometime unaweza chepuka pia ila kama hujachepuka pole sana hapo ndio ujue mwanamke anawexa kukudanganya na ni hatari...kw mwanaume tunajulikana tumeumbwa tofauti na kusamehewa hutokea ila vise versa ni maumivu platinum kama ulimuanimi sana.........so komaaa kaza buti anza upya au msamehe
 
Mnasemaga hivyo hivyo lakini kuna watu huwa mnawapa..teh teh

nitawapa nini sasa wakati mifuko imetoboka. nina bahati ya kuwapata wanaotoa bure for leisure, and not for biznez. teh teh. atoto
 
Last edited by a moderator:
nitawapa nini sasa wakati mifuko imetoboka. nina bahati ya kuwapata wanaotoa bure for pleasure. teh teh

Hahaa..Yawezekana. Lakini wanaume wengi wana that one person ambae hata asipoomba unajikakamua tu. Usibishe..teh teh
 
Hilo hutokea tu, na hasa kama umtimizii mahitaji yake panapo 6×6 tegemea zaidi ya hayo na kama pia humpi pesa za matumizi tegemea hayo pia. Na kwa taarifa yako mavazi sio ishu kabisa mimi nisha mgegeda anaye vaa hijabu achana na huyo mshamba anaye tinga vitenge.lol
 
Wakina HAWA/EVA hawajui kuridhika!, pole sana kwa kulia lia ndg yangu. Ongeza bidii ya kulia maana hakuna njia m-badala, punguza sumu na hasira mwilini kwa njia ya machozi
 
Heshima kwenu.

My girl/wife to'be nampenda sana lakini amenikwaza na nimeumia sana as a men. Kuna jamaa kutumia namba mpya amenirushia picha
Za utupu za wife to'be wangu niliyempenda na kumweshimu sana.


Mapenzi ni kitu hatari Sana pale inapokuja swala la kuumizwa. My girl hakuwahi hata kuvaa suruali wala nguo za ajabu usually anashono vitenge na hakuwahi kuvaa nguo fupi.

Nawaomba mnipe ushauri .


Hapo kwene red kamshtak tcra umalizie machungu.
 
Back
Top Bottom