Kwa wanawake na wanaume

Kwa wanawake na wanaume

Wewe jua tu huwa wanaliwa basi. Ukijifanya hujui hilo utalia sana my friend
 
Hahaha!!..Charanga sawa..Suruali hapana..Sinakufanya ucheat..Niliwahi kwenda beach nikamuona demu anaogelea na gauni la kitenge,Sijui ndo demu wake jimaa
Hahaha sasa unaogeleaje na gauni jamani?. Basi nilikuwa nashangaa mbona nacheat sana kumbe sababu ni suruali, nimeziacha kuanzia leo
 
Hahaha sasa unaogeleaje na gauni jamani?. Basi nilikuwa nashangaa mbona nacheat sana kumbe sababu ni suruali, nimeziacha kuanzia leo

Mama kuruthumu muelewa sana..Ahsante kwa hilo..Na vimini uache..Watt wadogo wanachelewa kukua kisa vimini vyenu
 
Back
Top Bottom