othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,668
- 9,055
- Thread starter
- #61
Sa mi nipo mkoani huku, huko posta nakuskia tuKutoboa ni ngumu labda ukaweke kijiwe posta kule au karibu na TRA
Duh, kwani hamna wanawake wenye mapenzi ya kweli bila kujari changamoto za waume zaoHela ngumu na kupewa heshima pia ni ngumu kama huna hela
Jifunze kuendesha bodaboda, hizo ndio unskills job ambazo wala huitaji mtani na ukikomaa utaona matunda yake.Nilikuwa mtunza kumbukumbu, Masijala kwenye halmashauri moja hapa nchini tz, magu alipoingia mzigoni ndio kama mlivosikia kilichotokea kwa wafanyakazi wa Tz.
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Yaani nianze kulala lindoni sa sindio wanaume watakuja chumbani ssTafuta kazi ya ulinzi
Hahahahah vyeti feki sioNilikuwa mtunza kumbukumbu, Masijala kwenye halmashauri moja hapa nchini tz, magu alipoingia mzigoni ndio kama mlivosikia kilichotokea kwa wafanyakazi wa Tz.
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Na watamgonga kweli kweli yani hizi hatua ulitakiwa uchukue mapema sana😂 wakati hajakupora heshima yako kama mumeYaani nianze kulala lindoni sa sindio wanaume watakuja chumbani ss
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Dah, we jamaa nipe maujanja niepuke. Hilo balaa la kuchapiwa, kuchapiwa kunaumaNa watamgonga kweli kweli yani hizi hatua ulitakiwa uchukue mapema sana wakati hajakupora heshima yako kama mume
Hahahahahah Eva alipomlisha Adamu ndio majanga yalianza sio 😂😂😂Tatizo huwa sio mke, tatizo ni pale atakapoacha kukusikiliza aanze kusikiliza wapambe ndugu jamaa na marafiki.
Ukifanikiwa kumfanya akusikilize wewe na ukakata network zote utajikuta unarudi relini.
Jitahidi basi Hata kubeba zege mkuu maana Kuna raha kuhudumia mke. Hata matatizo ya dunia yalianza siku Eva alipomletea Adam chakula
HahahahaHahahahahah Eva alipomlisha Adamu ndio majanga yalianza sio 😂😂😂
Hahahahahahaha da una hali mbaya sana jamaangu 😂!!! Workmate anampigia simu saa 7 za usiku tenaKuhusu wanaume pia naanza kuhisi sababu kuna mda atapigiwa simu hata saa saba za usiku na anapokea bila wasiwasi ukimuuliza atakwambia ni workmate wake anamkumbusha kazi za kesho ofisini
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Dah ila haya maisha bana, tucheke sana ila mzee kufulia kubaya sana yani! Uwe ghafla huna kitu halafu unamiliki mke mara bills umezishindwa kuzilipa aisee ni balaa na nusu! Yani friji lilikuwa linajaa mamisosi panya na mende hawakauki mjengoni ghafla wamehama nyumba inafikia stage una struggle kuweka chakula mezani mnaanza kula michicha na tembele wakati ilikuwa mwendo wa kuku, samaki na nyama!Hahahaha
Jamaa aliletewa fruits wakati yeye ndiye aliyepewa jukumu la kuongozA jahazi la edeni.
Movie ya mwanadamu ikaanzia hapo. Hahahaha
Uza jichoNimejaribu lkn pesa yenyewe ngumu ndugu yangu
Usichoke kumuomba Mwenyezi Mungu nyakati zote za uhai wakoYaani kama kusali na sali sn ndugu yangu hadi yale maombi ya usiku wa manane nasali, na kufunga lkn naona msala bado upo upande wng
Vipindi vyangu vya Tv zamani vilikuwa ni eatv, wasafi, dizzim, channel 10+, na trace muzik, yaani mda wote ni mangoma tu lkn sasa hivi naangalia vipindi vya akina mwamposa, suguye, Emmanuel tv, na vipindi vingine vya dini ili niwe karibu na mungu
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Watakuchapa na wewe ukizubaaDah, we jamaa nipe maujanja niepuke. Hilo balaa la kuchapiwa, kuchapiwa kunauma
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Hii statement ya kuwaambia watu watafute pesa imekuwa too much humu jamvini. Kwani nani hatafuti pesa hadi aambiwe kuwa tafuta pesa? Muache huu uhuni.Tafuta pesa wewe achana na vitu vya kupewa