PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 659
- 1,074
Hope mpo poa wakuu
Wanaume Daima tunakaribiwa na changamoto mbalimbali za maisha katika kuhakikisha familia zetu zinapata chochote kitu Kila siku.
Kwa namna Moja au nyingine wanaume wengi tumekabiliwa sana na upungufu wa nguvu za kiume Hilo lipo wazi. Hii imechangia sana na mfumo wa wetu wa maisha tunavyoishi halikwepeki hata upinge Kwa namna gani.mwanaume wa Leo kushindia soda na chips nikawaida sana au hata akijaitahidi basi Asubuhi atakunywa chai na chapati.
Nimeyaishi hayo maisha Mimi ya kula vyakula visivyo na virutubisho mhimu matokeo yake nikawa sifanyi vizuri Kila napokutana na mwanamke hata awe mzuri vipi nilikuwa naenda round1 Hadi kesho yake Tena sa9 napiga cha2 na haichukui Dk3 kwisha habari yangu.
Akili yangu ikanituma kuwa nimelogwa sio Bure nakumbka demu wangu niliyekuwa na mgonga vilivyo ndio aliye niambia kuwa wewe umelogwa na Mimi nikaamini ikabidi niende Kwa sangoma na kweli sangoma aliniambia nimerogwa na demu niliye mkataa bila sababu kwa sababu walikuwa wengi sikumtambua Moja Kwa Moja (jamaa aliniambia nikamuomba msahamaha huku natumia dawa zake fln za kunywa) nikatumia kama wiki1 zikaisha bilabila ikabidi nianze kununua dawa tu Kwa wauzaji bila mafanikio yyte nimenunua mno dawa zinaitwa zangamba, kiboko, nk lkn sikufanikiwa hata wamasai wamekula mno Hela zangu bila mafanikio.
Ndipo nikamwambia swala langu jamaa mmoja mtu wa dini sana (msabato) akaniuliza vyakula navyokula mara nyingi zaidi kuanzia miezi3+ nikataja na vinywaji akasema tatizo lipo hapo je kg Umepima zimeongezeka au ? nikasema zimeongezeka sana kutoka 72-89
Akanishauri nibadirishe lifestyle yangu ndani ya mwezi mmoja na nihakikishie nafanya kazi za kutoka jasho au mazoezi hasa kukimbia nikatekeleza hayo
Alinishauri Nile Hivi
Asubhi kabla sijala kitu ninywe maji walau glas 3 au hata2 lkn nihakikishe nimekunywa maji kabla hata sijapiga mswaki
Chai nisipende badala yake ninywe uje lishe
Mchana hakikisha umekula ugali Dona iwe mahindi mtama nk wa kushiba kabisa ila iwe Dona na nisikoswe mboga za majani hasa majani ya maboga yasiungwe ila ispokuwa Kwa karanga tu
Usiku usile sana au usile kabisa kula. Matunda tu kadili uwezavyo na iwe mapema
Punguza wali,sukari,vyakula vya viwandani, nk
Na daima tumia chai ya tangawizi na mchai mchai chai pamoja na asali Kila siku jion unapotoka kwenye majukumu Yako ya Kila siku
Usikoswe asali mbichi kwako kamwe maisha Yako yote iwe ni dawa Yako hiyo kabla hujalala kunywa vijiko2 au weka kwenye maji vuguvugu Kila unapoitaji.
Mazoezi na kazi nzito ziwe kwenye party ya maisha Yako
Kwa sababu nilikuwa nimeaibika vya kutosha Moja Kwa Moja nilifanya kama alivyo nielekeza wiki2 tu nikahisi badiriko kubwa sana ..(muda huo mademu nakwepa sana) ikabidi niombe game Baada ya kufikisha wiki2 na siku kadhaa huwezi amini nilipiga show Kali sana Hadi demu akasema nimemeza dawa na vile alizoea akija anakuta soda geto hakuzikuta akauliza mbona soda hamna nikamwambia nimechange mtindo wa maisha!
Ndg zangu Hadi Sasa soda sipendelei kabisa na kwangu kwenda show mara6-8 nikawaida kabisa kama demu nimemuelewa na muda mwingi Hadi nachoka tu ila chuma Bado kimesimama wengi Huwa wanashangaa sana.
Na pale napokuwa kazini (Camp) siwezi pata mahitaji yangu ya tangawizi, mdalasini, karafu na Asali basi Huwa natumia hiki kiungo (Angalia picha chini) na nunua then nakuwa nacho Kwa room muda wote Hadi nikirudi nyumbani ambapo wife anajua kabisa hivyo huniandalia Kwa ubora zaidi Tangawizi mbichi asali ya kununua kabisa Kwa mtu tunae mfahamu ambayo ni og.
Natumia Hivi nikiwa kazini.
Moja ya chupa ni Tea masala Ina tangawizi,mdalasini, karafu nk
Chupa nyingine ni Asali unaweza nunua asali popote utakapoita ila iwe original sio fake.
Je wewe ulitumia Nini ukawa Bora zaidi? Tuambie.
Ahsantee
View attachment 2797508
Wanaume Daima tunakaribiwa na changamoto mbalimbali za maisha katika kuhakikisha familia zetu zinapata chochote kitu Kila siku.
Kwa namna Moja au nyingine wanaume wengi tumekabiliwa sana na upungufu wa nguvu za kiume Hilo lipo wazi. Hii imechangia sana na mfumo wa wetu wa maisha tunavyoishi halikwepeki hata upinge Kwa namna gani.mwanaume wa Leo kushindia soda na chips nikawaida sana au hata akijaitahidi basi Asubuhi atakunywa chai na chapati.
Nimeyaishi hayo maisha Mimi ya kula vyakula visivyo na virutubisho mhimu matokeo yake nikawa sifanyi vizuri Kila napokutana na mwanamke hata awe mzuri vipi nilikuwa naenda round1 Hadi kesho yake Tena sa9 napiga cha2 na haichukui Dk3 kwisha habari yangu.
Akili yangu ikanituma kuwa nimelogwa sio Bure nakumbka demu wangu niliyekuwa na mgonga vilivyo ndio aliye niambia kuwa wewe umelogwa na Mimi nikaamini ikabidi niende Kwa sangoma na kweli sangoma aliniambia nimerogwa na demu niliye mkataa bila sababu kwa sababu walikuwa wengi sikumtambua Moja Kwa Moja (jamaa aliniambia nikamuomba msahamaha huku natumia dawa zake fln za kunywa) nikatumia kama wiki1 zikaisha bilabila ikabidi nianze kununua dawa tu Kwa wauzaji bila mafanikio yyte nimenunua mno dawa zinaitwa zangamba, kiboko, nk lkn sikufanikiwa hata wamasai wamekula mno Hela zangu bila mafanikio.
Ndipo nikamwambia swala langu jamaa mmoja mtu wa dini sana (msabato) akaniuliza vyakula navyokula mara nyingi zaidi kuanzia miezi3+ nikataja na vinywaji akasema tatizo lipo hapo je kg Umepima zimeongezeka au ? nikasema zimeongezeka sana kutoka 72-89
Akanishauri nibadirishe lifestyle yangu ndani ya mwezi mmoja na nihakikishie nafanya kazi za kutoka jasho au mazoezi hasa kukimbia nikatekeleza hayo
Alinishauri Nile Hivi
Asubhi kabla sijala kitu ninywe maji walau glas 3 au hata2 lkn nihakikishe nimekunywa maji kabla hata sijapiga mswaki
Chai nisipende badala yake ninywe uje lishe
Mchana hakikisha umekula ugali Dona iwe mahindi mtama nk wa kushiba kabisa ila iwe Dona na nisikoswe mboga za majani hasa majani ya maboga yasiungwe ila ispokuwa Kwa karanga tu
Usiku usile sana au usile kabisa kula. Matunda tu kadili uwezavyo na iwe mapema
Punguza wali,sukari,vyakula vya viwandani, nk
Na daima tumia chai ya tangawizi na mchai mchai chai pamoja na asali Kila siku jion unapotoka kwenye majukumu Yako ya Kila siku
Usikoswe asali mbichi kwako kamwe maisha Yako yote iwe ni dawa Yako hiyo kabla hujalala kunywa vijiko2 au weka kwenye maji vuguvugu Kila unapoitaji.
Mazoezi na kazi nzito ziwe kwenye party ya maisha Yako
Kwa sababu nilikuwa nimeaibika vya kutosha Moja Kwa Moja nilifanya kama alivyo nielekeza wiki2 tu nikahisi badiriko kubwa sana ..(muda huo mademu nakwepa sana) ikabidi niombe game Baada ya kufikisha wiki2 na siku kadhaa huwezi amini nilipiga show Kali sana Hadi demu akasema nimemeza dawa na vile alizoea akija anakuta soda geto hakuzikuta akauliza mbona soda hamna nikamwambia nimechange mtindo wa maisha!
Ndg zangu Hadi Sasa soda sipendelei kabisa na kwangu kwenda show mara6-8 nikawaida kabisa kama demu nimemuelewa na muda mwingi Hadi nachoka tu ila chuma Bado kimesimama wengi Huwa wanashangaa sana.
Na pale napokuwa kazini (Camp) siwezi pata mahitaji yangu ya tangawizi, mdalasini, karafu na Asali basi Huwa natumia hiki kiungo (Angalia picha chini) na nunua then nakuwa nacho Kwa room muda wote Hadi nikirudi nyumbani ambapo wife anajua kabisa hivyo huniandalia Kwa ubora zaidi Tangawizi mbichi asali ya kununua kabisa Kwa mtu tunae mfahamu ambayo ni og.
Natumia Hivi nikiwa kazini.
Moja ya chupa ni Tea masala Ina tangawizi,mdalasini, karafu nk
Chupa nyingine ni Asali unaweza nunua asali popote utakapoita ila iwe original sio fake.
Je wewe ulitumia Nini ukawa Bora zaidi? Tuambie.
Ahsantee
View attachment 2797508