othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,671
- 9,058
- Thread starter
- #21
Tuna watoto na ukisema nisepe watoto watateseka, kuna kipindi nilifikiria kusepa lkn lilipokuja suala la watoto ikabidi niwe mpole. Napitia kipindi kigumu snmna watoto au mtoto..?..
kama jibu ni hapana, binafsi sipendi kunyanyasika ningeondoka kimya kimya na kwenda ninakojua mimi naanza kivingine..namaanisha kimyakimya bila taarifa...
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app