Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

We acha tu mwana kuna wadau wananiona mi boya lkn ukweli ni kwamba haki sio nzuri sn
Mkuu katika kitu unatakiwa kujifunza na kuwafunza watoto ni kutojali maneno ya watu. People can't take care of their business, let them be. Lakini watu achana nao just live your life. Kuna mengi hujapitia bado, so ukipay attention kwenye maneno ya watu utapotea zaidi. Cha msingi amini wewe ni wa thamani hata kama machoni kwa watu thamani yako imeshuka kifedha lakini bado utu wako upo, jikaze kiume usiwasikilize binadamu, wana mengi ya kusema.
 
We hujui tu ndugu yangu usiombe yakukute, na sijui umeonaje kama nime relax sema tu mwenye shibe hamjui mwenye njaa

Kama kwako kuna amani na my wife wako muombe mungu

Ila pole sio km nafurahia ila mkuu kwann uteseke na useme unavumilia kisa watoto!!je nikuulize mmepanga au mmejenga!!?pili simamia msimamo wako km mwanaume usikubal kupelekeshwa huyo mwanamk amegundua udhaifu wqko ndio maan anakuchapa nao sas na ww ukikubali kuchapiwa na huo udhaifu utateseka saan na uangalie usije kufa mapema kwajil ya stress kaa km mwanaume jikaze kuwa mkali dharau ni mbaya naelewa alaf pambana sana yan sana wengine usituone hv ni vile tunapambana kmy kmy na maisha kwa hali hiyo hiyo ya ugum
 
Kuna sehemu umejikwaa kwa sababu ya kuweka uzungu kwenye penzi la ndoa zetu hizi za kiAfrika.

Bila ya kumumunya maneno, mfumo dume ndiyo njia pekee ya heshima na ndiyo utamaduni na chimbuko letu, lazima formula hiyo ifuatwe na si vinginevyo.

Ujue wapo makabila usipopiga mke huonekana haujui mapenzi na haumpendi kwa dhati mke na wapigaji wanaheshimika kuliko waume wapole!

Kukosa kazi za kiofisi siyo leseni ya kufanya kazi za kina mama nyumbani kwako, upike, uoshe vyombo sijui ufue, maana yake nini.

Kuna jambo jengine ulilikosea tangia mwanzo 'day one' namna ya kumkunja huyo kambale wako:

Kwanza inaonekana tangia mwanzo 'ulimwachaniza' kupanga mambo yake mengi namna ya kutumia mshahara wake bila kukushirikisha, nawe ukawa unaridhika tu na kuona bora liende.

Kwa sababu isingewezekana akajiengua na kuanza kupanga mambo yake bila kukushirikisha hata pale ulipotumbuliwa kama utaratibu huo ulikuwepo.

Na wewe inavyoonekana, pato lako %50 ulipokuwa ukifanya kazi, ulikuwa haumshirikishi ama pato hilo lilikuwa linapotelea kusikojulikana na mambo mengi ya kimaendeleo ulikuwa haumhusishi anaona tu umetenda na akaridhika, sasa anaona ni mzigo mkubwa sana asiouzoea unamwelemea.

Unapooa mke pato lako na lake bila kupenda, vinatakiwa kutandazwa mezani na kupangiwa bajeti inayoeleweka ili linapotokea anguko ama mabadiliko yoyote ya kimapato pasipatikane wa kulaumiwa ama kusingizia.

Hawa viumbe wanafanana sana 'rangi' zao isipokuwa wanatofautiana kutokana na ile 'timing' ya kukunjwa wakingali na maji maji.

Pia kama mwanaume kuna ile kanuni ya 10% ya kipato chako kuwa ndiyo hela yako ya binafsi na ndiyo akiba yako ambayo haimhusu mtu yeyote zaidi ya nafsi yako, kanuni hiyo sijui kama unaielewa na haujaifanya ukiwa na kazi ya kukuingizia kipato( huo ushauri unahitaji thread).

Katika maelezo yako, nineona unayo loop hole kubwa sana ya kutafuta kazi ama biashara yoyote halali ya kukuingizia kipato kwa kuwa mkeo ana kazi ya kuweza kujilisha yeye na kutunzia watoto, pia una mahali pa kuishi.

Anza kwanza kusaka shuhuli zozote za kufanya za kukuingizia kipato hata kiduchu kiasi gani na uache kushinda hapo nyumbani ukifanya kazi za uhouse boy.

Huyo mkeo, sisi wananzego hatuna mandate ya kumjadili hapa kwa sababu alivyo leo ndivyo ulivyomjenga mwenyewe tangia siku ya kwanza ya ndoa yenu.
 
Pole sana kwa unayoyapitia kaka!!
Kwanza mimi cha kukushauri change mazingira, mazingira yana ku limit kufanya vitu na ukapata pumziko na kwa hayo yanayoendelea unachokisubiri ni jera au kaburini kwa sababu Itafika sehemu uchoke!!
Hivyo bs tafuta eneo la mbali uende zako ukapambane Mungu wetu ni Mwema atakubariki ,
 
Kuna sehemu umejikwaa kwa sababu ya kuweka uzungu kwenye penzi la ndoa zetu hizi za kiAfrika.

Bila ya kumumunya maneno, mfumo dume ndiyo njia pekee ya heshima na ndiyo utamaduni na chimbuko letu, lazima formula hiyo ifuatwe na si vinginevyo.

Ujue wapo makabila usipopiga mke huonekana haujui mapenzi na haumpendi kwa dhati mke na wapigaji wanaheshimika kuliko waume wapole!

Kukosa kazi za kiofisi siyo leseni ya kufanya kazi za kina mama nyumbani kwako, upike, uoshe vyombo sijui ufue, maana yake nini.

Kuna jambo jengine ulilikosea tangia mwanzo 'day one' namna ya kumkunja huyo kambale wako:

Kwanza inaonekana tangia mwanzo 'ulimwachaniza' kupanga mambo yake mengi namna ya kutumia mshahara wake bila kukushirikisha, nawe ukawa unaridhika tu na kuona bora liende.

Kwa sababu isingewezekana akajiengua na kuanza kupanga mambo yake bila kukushirikisha hata pale ulipotumbuliwa kama utaratibu huo ulikuwepo.

Na wewe inavyoonekana, pato lako %50 ulipokuwa ukifanya kazi, ulikuwa haumshirikishi ama pato hilo lilikuwa linapotelea kusikojulikana na mambo mengi ya kimaendeleo ulikuwa haumhusishi anaona tu umetenda na akaridhika, sasa anaona ni mzigo mkubwa sana asiouzoea unamwelemea.

Unapooa mke pato lako na lake bila kupenda, vinatakiwa kutandazwa mezani na kupangiwa bajeti inayoeleweka ili linapotokea anguko ama mabadiliko yoyote ya kimapato pasipatikane wa kulaumiwa ama kusingizia.

Hawa viumbe wanafanana sana 'rangi' zao isipokuwa wanatofautiana kutokana na ile 'timing' ya kukunjwa wakingali na maji maji.

Pia kama mwanaume kuna ile kanuni ya 10% ya kipato chako kuwa ndiyo hela yako ya binafsi na ndiyo akiba yako ambayo haimhusu mtu yeyote zaidi ya nafsi yako, kanuni hiyo sijui kama unaielewa na haujaifanya ukiwa na kazi ya kukuingizia kipato( huo ushauri unahitaji thread).

Katika maelezo yako, nineona unayo loop hole kubwa sana ya kutafuta kazi ama biashara yoyote halali ya kukuingizia kipato kwa kuwa mkeo ana kazi ya kuweza kujilisha yeye na kutunzia watoto, pia una mahali pa kuishi.

Anza kwanza kusaka shuhuli zozote za kufanya za kukuingizia kipato hata kiduchu kiasi gani na uache kushinda hapo nyumbani ukifanya kazi za uhouse boy.

Huyo mkeo, sisi wananzego hatuna mandate ya kumjadili hapa kwa sababu alivyo leo ndivyo ulivyomjenga mwenyewe tangia siku ya kwanza ya ndoa yenu.
Asante kwa ushaur wako
 
Pole sana kwa unayoyapitia kaka!!
Kwanza mimi cha kukushauri change mazingira, mazingira yana ku limit kufanya vitu na ukapata pumziko na kwa hayo yanayoendelea unachokisubiri ni jera au kaburini kwa sababu Itafika sehemu uchoke!!
Hivyo bs tafuta eneo la mbali uende zako ukapambane Mungu wetu ni Mwema atakubariki ,
Asante pia kwa ushauri
 
Simple tu..... kimbia nyumba njoo mashambani huku tulime nyanya, njoo tuchakae kwa muda mkuu. Wenzio huku tupo kwenye maandalizi ya kurudisha heshima mjini. Njoo upambane urudishe heshima kwa mama watoto wako. Usitoroke we muage tu kiroho Safi. Ila jiandae kùchapiwa kwa muda mpaka heshima itakaporudi

Ni mambo ya muda tu bt yatakwisha, kwa sasa tunaelekea kwenye msimu wa nyanya ninyanyue. usikae kizembe mjini KARIBU SANA
 
Simple tu..... kimbia nyumba njoo mashambani huku tulime nyanya, njoo tuchakae kwa muda mkuu. Wenzio huku tupo kwenye maandalizi ya kurudisha heshima mjini. Njoo upambane urudishe heshima kwa mama watoto wako. Usitoroke we muage tu kiroho Safi. Ila jiandae kùchapiwa kwa muda mpaka heshima itakaporudi

Ni mambo ya muda tu bt yatakwisha, kwa sasa tunaelekea kwenye msimu wa nyanya ninyanyue. usikae kizembe mjini KARIBU SANA
Unalimia wapi?
 
Kuna mambo umeyachukulia juu juu.
Akienda kufanya hiyo kazi basi watahitaji kuajiri house maid, sababu yeye na mkewe hawatakuwepo kuhudumia watoto.

Je hizo kazi zitatosha kumlipa huyo msaidizi wa nyumbani na ikabaki ya kuchangia matumizi ya familia na matumizi yake binafsi?

Nakuhakikishia kazi ulizo mshauri haziwezi kukidhi mahitaji na kuchangia kusomesha watoto shule binafsi.
Kuna mambo ukishauriwa unapaswa ujiongeze kifikra.Namaanisha aondoke akafanye kazi itakayomletea mkate mezani.Kama ameamua hadi kugeuka "house-maid" kwenye nyumba yake na aheshimiwi ni vema akajiondokea kwa amani.Kuhusu mtoto,mkewe atafute msaidizi.Kuanza upya si ujinga.Mimi siwezi kunyanyaswa na mke kisa sina kazi au kipato.Niliandika "ili apate mahitaji yake" siyo yao.Umeelewa?
 
Kuna mambo ukishauriwa unapaswa ujiongeze kifikra.Namaanisha aondoke akafanye kazi itakayomletea mkate mezani.Kama ameamua hadi kugeuka "house-maid" kwenye nyumba yake na aheshimiwi ni vema akajiondokea kwa amani.Kuhusu mtoto,mkewe atafute msaidizi.Kuanza upya si ujinga.Mimi siwezi kunyanyaswa na mke kisa sina kazi au kipato.Niliandika "ili apate mahitaji yake" siyo yao.Umeelewa?
Nafanyia kazi ushauri wako
 
Watoto watapata tabu zaidi kama hautajijengea uchumi wa kuwaandalia mustakabali mzuri.
Simaanishi kwamba maisha yangu yote nitaishi kindezi na sitapata mchongo wa ku maintain familia, tatizo ni hii suddenly change ya my wife wng ambapo najiuliza siku nikisimama tena na mm nifanye revange au nipotezee tu
 
Kudharauliwa na mwanamke inauma kingese. Wanaume wote kwenye uzi huu ombeni Mungu sana msije kushuka kiuchumi, hapo ndiyo mtajua mlikuwa hamuwajui wanawake.
Pole mkuu ila pambana hiyo ndio asili ya mwanamke ukiwa huna Kitu.. Yani mkeo akwambia mtoto anaumwa ndani hakuna chakula alafu unajibu huna helaa aisee utatafuta tu uchi kwingine.. Na dharau zake sasa nyie nyiee hapana.
 
Back
Top Bottom