Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Nimecheka hapo ulipoeleza kwamba unakuta vitone kwenye nguo zake za ndani unapofua(nisamehe kwa kucheka)!Nimewaza mbali na mengi.

Hata hivyo,kwa sababu umeamua kuvumilia,ni vema ukatafuta kazi yako ya kujiajiri.Mimi ningeweza;
1-Udobi.Nina uwezo mkubwa wa kufua na kunyoosha nguo aina kwa aina.Hebu na weye jaribu.
2-Ufundi/urekebishaji/Ushonaji wa viatu.Utundu wa kushona(marekebisho)viatu nilijifunza tangu darasa la kwanza.Haiihitaji mtaji mkubwa.Nyuzi,sindano na vigozi vya kuunganishia palipoharibika au kuchanika.
3-Kusafisha na kung'arisha viatu.Kama upo katika mji mkubwa,usione soo!Hizi ni shughuli tumeanza kuzifanya tangu utotoni.Unasafisha raba,viatu vya ngozi na "ku-brush" vingae kwa kiwi.

NB:Hizo ni shughuli zisizohitaji mtaji mkubwa.Jaribu upate mahitaji yako ya kawaida.Kama ulizoea "ubossboss" unakwama.

Bro wazo zur lkn izo kaz xinaendana na kariba ya mtu wewe graduate leo hii uwe fundi viatu kweli ?ujianike apa barabaran dah af labda umepunguzwa kaz kama accountant ama marketer sehem aisee bora uwe ata ndan ya kiwanda kwa kazi ya ku load na ku offload mizigo lkn sehem iliyojificha
 
Dah ila haya maisha bana, tucheke sana ila mzee kufulia kubaya sana yani! Uwe ghafla huna kitu halafu unamiliki mke mara bills umezishindwa kuzilipa aisee ni balaa na nusu! Yani friji lilikuwa linajaa mamisosi panya na mende hawakauki mjengoni ghafla wamehama nyumba inafikia stage una struggle kuweka chakula mezani mnaanza kula michicha na tembele wakati ilikuwa mwendo wa kuku, samaki na nyama!

Yani msione vizee vinakomaa maofisini hata kwa ndumba asikudanganye mtu kuendesha familia kwa hela ya kubahatisha bahatisha mtaani sio swala la masihara kmmmk! Leo una hela kesho huna yani dah...Hela za ghafla zile ukitekenya ef 50 ya haraka huna
 
Taifa lipi hilo ni utapeli tu! Yani mara mia mwanaume awe bread winner ataokoa mke na ukoo wake mzima ila mke hapana kwa kweli!

Wanawake wana kinai haraka sana kutoa misaada yani tena kwa mwanaume wake. Bora hata ndugu zake atalia lia ila anawapa msaada hata kwa hela zako mumewe ila mume ukifulia you are doomed!

Rafiki wa kweli wa mwanaume ni pesa tu. Hatakuacha hata dunia nzima ikikutenga
 
Pole mkuu ila pambana hiyo ndio asili ya mwanamke ukiwa huna Kitu.. Yani mkeo akwambia mtoto anaumwa ndani hakuna chakula alafu unajibu huna helaa aisee utatafuta tu uchi kwingine.. Na dharau zake sasa nyie nyiee hapana.
Yaani mwamba we acha tu
 
Ila pole sio km nafurahia ila mkuu kwann uteseke na useme unavumilia kisa watoto!!je nikuulize mmepanga au mmejenga!!?pili simamia msimamo wako km mwanaume usikubal kupelekeshwa huyo mwanamk amegundua udhaifu wqko ndio maan anakuchapa nao sas na ww ukikubali kuchapiwa na huo udhaifu utateseka saan na uangalie usije kufa mapema kwajil ya stress kaa km mwanaume jikaze kuwa mkali dharau ni mbaya naelewa alaf pambana sana yan sana wengine usituone hv ni vile tunapambana kmy kmy na maisha kwa hali hiyo hiyo ya ugum
Agiza Stone Tangawizi
 
Simaanishi kwamba maisha yangu yote nitaishi kindezi na sitapata mchongo wa ku maintain familia, tatizo ni hii suddenly change ya my wife wng ambapo najiuliza siku nikisimama tena na mm nifanye revange au nipotezee tu
Wote ndo walivyo ni bora uishiwe nguvu za kiume kuliko pesa
 
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.

Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.

Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.

Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,

Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.

Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.

Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,

Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.

Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.

Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.

Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,

Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,

Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Sijasoma hadi mwisho ila topic nimeipata.Ukiwa ulishaoa mke wa Kichaga pressure huwezi pata ukiwa hali mbaya sio wale wengine.
 
Bro wazo zur lkn izo kaz xinaendana na kariba ya mtu wewe graduate leo hii uwe fundi viatu kweli ?ujianike apa barabaran dah af labda umepunguzwa kaz kama accountant ama marketer sehem aisee bora uwe ata ndan ya kiwanda kwa kazi ya ku load na ku offload mizigo lkn sehem iliyojificha
Kaa hivyohivyo.
 
Tuna watoto na ukisema nisepe watoto watateseka, kuna kipindi nilifikiria kusepa lkn lilipokuja suala la watoto ikabidi niwe mpole. Napitia kipindi kigumu sn

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Kaka kipindi unafanya kazi hao watoto Nani alikuwa akiwaangalia..? Njia pekee ya kukupa amani ya moyo ni ama upate connection ya kazi nyingine au uondoke uende mbali ukapambane. Wala usihisi kwamba usipokuwepo watoto hawatapata huduma.
 
Duh hii kitu inanikumbusha jamaangu mmoja yy alipoteza kaz hlf mke bado yupo kazini,,,mke alianza nyodo kwa staili km za mke wa huyu mletamada.

yule mke ilikuwa full tafrani mara arudi ucku mwingi hlf hataki aulizwe chochote,,,kibaya zaidi akawatia maneno mabaya watoto nao wakaanza kumchukia dingi. yule mke akaanza kuinamishwa na vidume huko nje. ile ndoa ilitawanyika vipande na bdae yule jamaa alikufa kwa stress.

kuna mwngne nae nilishuhudia kwa macho yngu mawili, akitupiwa vifurushi vyake nje baada ya baby mama kuona jamaa hana msaada. huyu jamaa nae alikuwa kapoteza kazi. sema jamaa alibounce back akaja kupata kazi nzuri tu bdae. kwa kweli km upo apechealolo lazma uone kila rangi hapa duniani.

kibaya zaidi watoto kwa kuwa mara nyingi wanakuwa karibu na mama basi nao wanatiwa ujinga kiasi wanaamini mamayao anaonewa na usipokaa sawa kuna siku wataungana wakukate makofi kwa kumnyanyasa maza. ukifika hapo ujue huo ubaba umeshaingiliwa,,,yaani wew hautoshi kuwa baba tena,,,hapa suluhu yake ni lazma baba ujitenge,,chukua rasketi zako potea kabisa katafute kwanza 'ubaba' kokote huko mbele. mtu mmoja alisema "kuanza moja si ujinga"
 
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.

Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.

Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.

Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,

Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.

Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.

Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,

Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.

Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.

Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.

Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,

Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,

Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Unayaosema yanaweza kuwa kweli tupu. Mara nyingi inategemea ulivyokuwa ukimtreat ulipokuwa bread winner. Pia, katika kupata kipato inabidi usiangalie ajira bali namna ya kujiajiri hata kufanya biashara hata kama ni umachinga. Nakushauri umtoe fedha uanzishe kilimo cha mbogamboga. Zinalipa haraka sana. Kwa sasa hakuna ajira yenye kuaminika iliyobakia kama kilimo cha mboga mboga kutokana na kuongezeka idadi ya watu hivyo walaji. Kama mkeo si muaminifu, hata ungemuacha nyumbani ukaingiza fedha atawapa wauza ukwaju, mandazi, mitumba na upuuzi mwingine. Nadhani ni tabia ya mtu. Nikuulize swali. Inakuwaje hadi unakaguakagua nguo zake za ndani au ni kipanga tangia unamuoa?
 
Bro wazo zur lkn izo kaz xinaendana na kariba ya mtu wewe graduate leo hii uwe fundi viatu kweli ?ujianike apa barabaran dah af labda umepunguzwa kaz kama accountant ama marketer sehem aisee bora uwe ata ndan ya kiwanda kwa kazi ya ku load na ku offload mizigo lkn sehem iliyojificha
Chagua moja.Ufe umeoga au uishi haujachana nywele.
 
Mimi namwambiaga wife kabisa siku nafukuzwa kazi au sina kazi ujue hutaniona tena apa home hawa bila maamuzi ya kibishi huwezi elewana Nawo usitegemee atakueshimu saivi Kwa Hali uliyonayo embu ama mkoa katafute maisha pengine ndugu yangu apo utakufa Kwa msongo wa mawazo au kufanya Jambo lolote Baya ambapo utajikuta gerezani na kosa ulilofanya ni kujikunyata baada ya kutolewa kazini yani Hadi chupi yake unafua aisee hii kiboko Aya Kaka pambania kombe Ila akili yako ijue ndoa ni ubatili mtupu na watoto ni wake mwanamke si wako ww
 
Back
Top Bottom