Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
mm nimeifanya 2011..kwakweli faida yake ndg..ss hv ht nipewe5m hii biashara siirudii...sukari mfuko unanengeneka for 2 wks upate 7500😂😂😂sitaki..
ngano faida ilikuwa km 6000 bas uishe ht 2 days😏 unakaa nao week na nusu😑
vinywaji ndo vinabeba duka
Uliweka na friji pia?mpesa haikukupa faida