BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,163
- Thread starter
- #61
Hahahahahaaa kama ukisema hvyo hakuna biashara utkayofanyaIyo biashara siwezi fanya
Kupitia ulchosema nakutajia wew n mtu wa aina gan
Una mtazamo hasi katika biashara au chochte chenye faida ndogo kwako
Sasa hv n either umepanga na mshkaji au upo kwa shangaz au anko or kwa wazaz
Unazurura tu mtaani unachagua kaz na still ukitegemea kuwa ukirud utakuta chakula getho o wanakokulea
Sent using Jamii Forums mobile app