Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali

Hii biashara miyeyusho Sana , issue ni moja Tu worksmart earn more na hapa ndo akli inatakiwa ufanye kaz ..biashara gani kila sku unakuwa na shati moja limejaa unga ..Mimi hamna wakuu, hii biashara inafaa wazee waliofikia umri wa kufunga mahesabu just wanatafuta hela ya Kula mana washajenga washasomesha na mambo mengi ya msingi wamefanya .... Kijana unatakiwa upige show za kibabe unakunja hata 500000 Kwa wiki siyo mbaya....
Ifikie hatua mazingira yasituendeshe Sana Bali Sisi ndo tuyabadili mazingira yaendane na tunachokitaka ...
Unafanya biashara gani?
 
Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi, kreti la coca, paketi za sigara, pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama.

Munisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa fala sana
 
Hii biashara miyeyusho Sana , issue ni moja Tu worksmart earn more na hapa ndo akli inatakiwa ufanye kaz ..biashara gani kila sku unakuwa na shati moja limejaa unga ..Mimi hamna wakuu, hii biashara inafaa wazee waliofikia umri wa kufunga mahesabu just wanatafuta hela ya Kula mana washajenga washasomesha na mambo mengi ya msingi wamefanya .... Kijana unatakiwa upige show za kibabe unakunja hata 500000 Kwa wiki siyo mbaya....
Ifikie hatua mazingira yasituendeshe Sana Bali Sisi ndo tuyabadili mazingira yaendane na tunachokitaka ...
Show zipi ni za kibabe unaweza kuja 500k kwa wiki boss?
 
Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi, kreti la coca, paketi za sigara, pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama.

Munisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma comments za watu wote humu. Wengine wamekomenti ila bila kujua au kufanya hii biashara. Biashara hii ukikaa sehemu nzuri, mtaji mzuri angalau 7M mpaka 10M na ukawa na mauzo yasiyopungua laki 3 mpaka 5 kwa siku. Na upo serious ucheki na wateja. Lazima utoboe.

Hawa wanaokatisha tamaa itakua location haikua nzuri ama mtaji ulikua mdogo sana. Au biashara siyo asili yao. Hivi vitu biashara zina wenyewe. Ndiyo maana kuna watu wanaanza na mtaji wa matunda baadae wamemiliki biashara kubwa ssana.Wanajua kuzidisha ela. Siyo watu wote wanajua hizi mambo. Ndiyo maana wachache wanamiliki pesa. Kwa mtaji huo juu, na mauzo hayo juu tayari ndani ya miezi michache unaweza kuanza kununua vitu kwa wingi na ukaanza kuwa na store ya kuhifadhi mizigo. Ndani ya miaka 3 hivi utajikuta una mzigo dukani wakutosha na store mzigo wa kutosha utafikiri umeletewa kimiujiza.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Just nia yangu n kuwa. Biashara kila mtu anaiona faida yake kwa pale anapoona imemfikisha

Nilikuw na friji 1 now nnazo mbili.

Nilikuw na kreti 3 za soda, now nna 10

Hii biashara ndo inayonilipia kodi nlikopanga

Just angalizo tu. Changanya biashara ukifanya hii biashara, ukitegemea duka tu utafeli



Sent using Jamii Forums mobile app
Ulianza na mtaji kiasi gani mkuu? Ongea ili vijana wapate nguvu kwa walichonacho
 
Kila biashara na watu wake, mimi nafanya hii biashara nina duka la nafaka, ila kabla ya hapo nilikuwa nafuata mzigo wa mchele na maharage mbeya na iringa nauza kwa jumla. Nikaacha niliona miyeyusho maana sometimes nilikuwa naleta mchele unakaa wee wakati mimi nataka niuze week uishe nifuate mwingine. Niliona kama nimetia pesa nyingi, nguvu nyingi mapato kidogo, halafu sasa nikawa nasupply maharage shule flani baadae wakaanza nizungusha malipo ndipo nikaona hii biashara niachane nayo.
Hata hili duka nimeliacha likue tu nauza kuanzia kilo tano kwa kila aina ya nafaka.
 
Wadau ili kupata mrejesho mzuri ni bora kununua vitu kwa wingi mfano katoni au kidogo kidogo?
 
Back
Top Bottom