Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,972
- 3,513
Nimefanya sana hiyo biashara pale Mlandizi jirani na Bar ya Kauli ya Bibi, kikubwa ni lazima ukae mwenyewe dukani au mkeo, vinginevyo utapigwa tu. Mimi nilikosa usimamizi sababu naishi Kimara kazi nafanya mjini, kule nakwenda wikendi tu, mwisho wa siku nikaamua kuliuza duka kwa jamaa. Lakini ukweli ni kwamba inalipa sana ukiwa mwenyewe, pia niliweka na vibia viwili basi mwendo ulikuwa oya oya tu.
πππ Unaweka venue japo amna wateja ninao wachukia kama wa vibia bia, wana kero.kwenye Duka ukiibia ukawa unauza na vilevi kidogo mfano k vant, shimma, konyagi na vibia faida lazima ionekane mfano kwa sasa kreti moja ya bia serengeti ndogO faida ni 6,000 na kwenye Duka unaanza kuuza izo pombe tokea adubuhi kwani wanywaji hukunywa kwa kujificha Kama gongo ama bangi kwa mtaji wa 1m kupata faida ya 15k mpaka 20 kwa siku ni kawaida sana na haitaji uende kwa sangomaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi ya serikali inaingia wapi Kati ya factors ulizotajaBiashara zote zinalipa tena sana. Kinachotakiwa ni kuzalisha Zaidi ya matumizi. Eg. Unatumia 150,000/= kwa mwezi inatakiwa uzalishe Zaidi ya hapo ili upate kiasi cha kusave kwa ajili ya maendeleo mengine.
Hata kama unauza magari kama hausave unafilisika tu. Population, capital, service, policies ni mambo yanayochangia kustawi au kutostawi biashara.
Kuna taratibu za uanzishaji wa biashara inabidi zifuatwe.
Kodi ya serikali inaingia wapi Kati ya factors ulizotaja
SawaNimejaribu kufupisha ndg. Nimetaja policies unakutana na government policies TRA ikiwemo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duka la Home nlikuaga kila nkiingia natoka na vocha..Mama nae akitaka vocha anakwambia Nikopesheni vocha, baba nae Nikopesheni. Mwendo huo kilichofwata lile duka saivi ni chumba cha dada wa kazi.
Yani ni mwendo huo,nyumba nzima Maboss
Nomaa, mwendo huo hilo duka litabaki na chumvi tuuuYani ni mwendo huo,nyumba nzima Maboss
Chalii kwa huu utaratibu wako hata mshahara wa milioni 2 utakuwa haukutani hahahahah!! Mi nadhani cha msingi hesabu zifanyike kwa mwezi tu. Uuze duka na ujitahidi kuishi kulingana na faida yako ya mwisho wa mwezi na hapo ni busara mtu ukaliendesha duka angalau miezi 6 ya mwanzo bila kutegemea faida yake. watu wanaishi, somesha na kujenga kwa dukaIla kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali chumvi zingebaki, chumvi zote dada wa kazi kapeleka jikoni
Nimetoka kulipia kodi ya pango muda huu!
Niko tayari kupambana na changamoto za biashara ya duka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli usiopingika mkuu, umenena vyema sanaNimefanya sana hiyo biashara pale Mlandizi jirani na Bar ya Kauli ya Bibi, kikubwa ni lazima ukae mwenyewe dukani au mkeo, vinginevyo utapigwa tu. Mimi nilikosa usimamizi sababu naishi Kimara kazi nafanya mjini, kule nakwenda wikendi tu, mwisho wa siku nikaamua kuliuza duka kwa jamaa. Lakini ukweli ni kwamba inalipa sana ukiwa mwenyewe, pia niliweka na vibia viwili basi mwendo ulikuwa oya oya tu.
We mchaga gani sio bahili?Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan unauza soda tu , kuna bidhaa Zaid ya 100 so kila bidhaa ikikupa ~250 una 25000 kwa siku cha msingi ni kujitaid kuweka bidhaa nyingi zaid ili mteja akija arukimkuu hizi bidhaa unaziuza kwa muda gani? soda crate 1 unauza wiki 2, muda huo umeshatumia zaidi ya 20k faida iko wap
kama utakuwa na mtaji mzuri..
fungua hardware.
vitu vyake vina faida kubwa kwa kimoja kimoja.
Sent using Jamii Forums mobile app