Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali

kwenye Duka ukiibia ukawa unauza na vilevi kidogo mfano k vant, shimma, konyagi na vibia faida lazima ionekane mfano kwa sasa kreti moja ya bia serengeti ndogO faida ni 6,000 na kwenye Duka unaanza kuuza izo pombe tokea adubuhi kwani wanywaji hukunywa kwa kujificha Kama gongo ama bangi kwa mtaji wa 1m kupata faida ya 15k mpaka 20 kwa siku ni kawaida sana na haitaji uende kwa sangomaaa
Nimefanya sana hiyo biashara pale Mlandizi jirani na Bar ya Kauli ya Bibi, kikubwa ni lazima ukae mwenyewe dukani au mkeo, vinginevyo utapigwa tu. Mimi nilikosa usimamizi sababu naishi Kimara kazi nafanya mjini, kule nakwenda wikendi tu, mwisho wa siku nikaamua kuliuza duka kwa jamaa. Lakini ukweli ni kwamba inalipa sana ukiwa mwenyewe, pia niliweka na vibia viwili basi mwendo ulikuwa oya oya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye Duka ukiibia ukawa unauza na vilevi kidogo mfano k vant, shimma, konyagi na vibia faida lazima ionekane mfano kwa sasa kreti moja ya bia serengeti ndogO faida ni 6,000 na kwenye Duka unaanza kuuza izo pombe tokea adubuhi kwani wanywaji hukunywa kwa kujificha Kama gongo ama bangi kwa mtaji wa 1m kupata faida ya 15k mpaka 20 kwa siku ni kawaida sana na haitaji uende kwa sangomaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 Unaweka venue japo amna wateja ninao wachukia kama wa vibia bia, wana kero.
 
Biashara zote zinalipa tena sana. Kinachotakiwa ni kuzalisha Zaidi ya matumizi. Eg. Unatumia 150,000/= kwa mwezi inatakiwa uzalishe Zaidi ya hapo ili upate kiasi cha kusave kwa ajili ya maendeleo mengine.

Hata kama unauza magari kama hausave unafilisika tu. Population, capital, service, policies ni mambo yanayochangia kustawi au kutostawi biashara.

Kuna taratibu za uanzishaji wa biashara inabidi zifuatwe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara zote zinalipa tena sana. Kinachotakiwa ni kuzalisha Zaidi ya matumizi. Eg. Unatumia 150,000/= kwa mwezi inatakiwa uzalishe Zaidi ya hapo ili upate kiasi cha kusave kwa ajili ya maendeleo mengine.

Hata kama unauza magari kama hausave unafilisika tu. Population, capital, service, policies ni mambo yanayochangia kustawi au kutostawi biashara.

Kuna taratibu za uanzishaji wa biashara inabidi zifuatwe.
Kodi ya serikali inaingia wapi Kati ya factors ulizotaja
 
Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
Chalii kwa huu utaratibu wako hata mshahara wa milioni 2 utakuwa haukutani hahahahah!! Mi nadhani cha msingi hesabu zifanyike kwa mwezi tu. Uuze duka na ujitahidi kuishi kulingana na faida yako ya mwisho wa mwezi na hapo ni busara mtu ukaliendesha duka angalau miezi 6 ya mwanzo bila kutegemea faida yake. watu wanaishi, somesha na kujenga kwa duka
 
Duka la reja linalipa sana, hasa ukiwa na mauzo sio chini ya laki4 mpaka 6, na uwe unakaa hapo mwenyewe baada ya miaka mitano upo mbali sanaaa.

Nimeifanya sana hadi sasa ila madogo ndio wanazingua kinyama
 
Nimefanya sana hiyo biashara pale Mlandizi jirani na Bar ya Kauli ya Bibi, kikubwa ni lazima ukae mwenyewe dukani au mkeo, vinginevyo utapigwa tu. Mimi nilikosa usimamizi sababu naishi Kimara kazi nafanya mjini, kule nakwenda wikendi tu, mwisho wa siku nikaamua kuliuza duka kwa jamaa. Lakini ukweli ni kwamba inalipa sana ukiwa mwenyewe, pia niliweka na vibia viwili basi mwendo ulikuwa oya oya tu.
Ni ukweli usiopingika mkuu, umenena vyema sana
 
Ila kumbuka siku ukinywa bia kama tano ni 2000 X 5= 10,000/: ukila na kitimoto kilo moja na ndizi ni 12,000/: hapo utakua na demu nae atakunywa santiana au dompo 15,000/: ukitoka hapo ingia gesti ya bei rahisi ya 20,000/: mtoe demu asibuhi na hata 20,000/: utakuta umekula creti la pepsi,kreti la coca,paketi za sigara,pampers zisizohesabika, viberiti mabunda kadhaa nk. Kazi ya kuuza duka hata ukila mchana ujue shelfu itakutizama. Munisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
We mchaga gani sio bahili?
 
mkuu hizi bidhaa unaziuza kwa muda gani? soda crate 1 unauza wiki 2, muda huo umeshatumia zaidi ya 20k faida iko wap
Kwan unauza soda tu , kuna bidhaa Zaid ya 100 so kila bidhaa ikikupa ~250 una 25000 kwa siku cha msingi ni kujitaid kuweka bidhaa nyingi zaid ili mteja akija aruki
 
Hapo unauza kwa kreti au soda moja moja piaa?ukiuza moja moja faida sh ngapi na kreti unapataje na chupa zake?
 
64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom