Kwa Wananchi walio serious hili suala la umeme Tanzania lingetosha kuitoa CCM madarakani

Exile

JF-Expert Member
Feb 21, 2021
1,406
3,363
Huu umeme umekuwa kero sana shughuli za watu zimesimama viwanda vinashindwa kufanya kazi ndo mtegemee maendeleo?

Wananchi tungekuwa serious CCM 2025 ingebidi waachie serikali kivyovyote vile hata wangeiba kura naamin nguvu ya wananchi ingeitoa.

Hata nyie chawa wa serikali mnaoipamba serikali ya mama anaupiga mwingi mnaishi ikulu au kwenye jamii yetu inatatizika na umeme, mwambieni awekee nguvu kwenye umeme sio uteuzi na utenguzi tu wakati wananchi tunashindwa kufanya shughuli. The Boss, FaizaFoxy THE BIG SHOW ,
 
Wewe utakuta unalalamika kwa kuwa umeshindwa kununuwa hata solar ya kukuchajia simu yako tu.
Kwa umri wangu kukuita wewe ni mpumbavu ni ukosefu mkubwa wa nidhamu lakini sina budi kukuambia wewe ni mpumbavu na mjinga wa mwisho ,udini na uccm unakutia upofu unakua huoni kuwa viwanda haviitaji solar na powerbank kuvi endesha kama alivyosema mleta mada.
 
Ungekuwa hauna umeme ungekuwepo JF saa hizi?

Umeme siyo katika maadui wa nyerere, alituwacha giza totoro. Tunapambana maadui alioturithisha nyerere kwanza. Unawajuwa?
Bado upo na akili za madrasa za hadithi za mtume unaleta kwenye suala serious kama umeme nimeamini mama chawa wake hawana akili, magufuli alikuwa na chawa smart hadi unashindwa uwajibuje hoja
 
Wewe utakuta unalalamika kwa kuwa umeshindwa kununuwa hata solar ya kukuchajia simu yako tu.
Faiza kwako wewe matumizi ya umeme ni kucharge simu na kuwasha taa tu? Kuna comments nyingine hadi huruma, hivi hujui umuhimu wa nishati ya umeme katika shughuli za uzalishaji? Najuwa mmezoea urojo na vijembe, uku kwingine mmeingia kwa bahatibahati tu wala hata hamjali, mmekaa kimyaa bora linakwenda.







Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Faiza kwako wewe matumizi ya umeme ni kucharge simu na kuwasha taa tu? Kuna comments nyingine hadi huruma, hivi hujui umuhimu wa nishati ya umeme katika shughuli za uzalishaji? Najuwa mmezoea urojo na vijembe, uku kwingine mmeingia kwa bahatibahati tu wala hata hamjali, mmekaa kimyaa bora linakwenda.







Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hiyo comment yake imenifanya niamini Hana akili
 
Ungekuwa hauna umeme ungekuwepo JF saa hizi?

Umeme siyo katika maadui wa nyerere, alituwacha giza totoro. Tunapambana maadui alioturithisha nyerere kwanza. Unawajuwa?
Faiza, kwa comments zako hizi leo nimegundua kiwango chako cha uelewa, nakusamehe. Wakati Nyerere anaweka mikakati ya kupambana na hao maadui watatu nchi ilikuwaje na ilikuwa imetoka wapi? Hao maadui wa Nyerere mtapambana nao hadi lini? Wewe kweli mhuuu.

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli hatuko serious.

Juzi naangalia habari kuna mama analalamika katupa nyama kilogram 19, yaan zimeharibika kwa ajili ya kukosa umeme. Nilimuonea huruma sana, yaani Tanesco inawatia watu umaskini.
 
Uwezo wetu umefika kikomo.Tutakua tunapiga tu propaganda mfu ila swala la umeme limetushinda.Watabadilishana uongozi hadi kiama ila akili ni zile zile.
 
BREAKING NEWS: Serikali ya Tanzania iko kwenye mazungumzo ya mwisho na shirika la umeme la Msumbumbiji EDM kununua umeme wa dharura wa 150MW. Umeme huo utasaidia kupunguza kadhia ya sasa ya mgao mkali wa umeme. #TanzaniaLeaks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuendelee kuvumilia tu kama ambavyo tulivumilia huko nyuma! Tuendelea kuishauri Serikali ije na mbala wa Maji kama chanzo pekee cha Umeme!
Maadamu Watanzania tulishakubali kufa na tai shingoni, tuamini tutafika tu.
 
Bado upo na akili za madrasa za hadithi za mtume unaleta kwenye suala serious kama umeme nimeamini mama chawa wake hawana akili, magufuli alikuwa na chawa smart hadi unashindwa uwajibuje hoja
Tehe tehe tehe ngoja nicheke! Umempiga kwenye mshono aisee! kha ahsante mkuu!
 
Back
Top Bottom