NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Mungu kamchagua Magufuli awe Rais imetosha,akuna tena makorokoro mengine.Pointi moja shika biblia yako au Msaahafu sema kutoka ndani kuwa uchaguzi ulikuwa na huru na haki na Mungu aoneye sirini atakujaza