Uchaguzi umeisha fanya kazi na shughuli za kukuletea maendeleo badala ya kupoteza muda wako.JPM ndiyo rais na serikali ni ya ccm na maendeleo kwa wananchi yanakuja.Chadema hamtawahi kupewa nchi wananchi wamewakataa.Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?
Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?
Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Alisema hayo kwa sababu anajua wananchi wanaikubali ccm na sera zakeNi kweli Kuna mwenzenu alisema ushindi wa CCM ni lazima Mungu atake asitake ushindi ni lazima bahati mbaya amefariki wiki iliyopita.Hii ni picha halisi kuwa CCM kwenu MUNGU siyo chochote!
Comrade jaribu kuwa na fikra hata kidogo.ewe kibaraka wa watawala, kwenye teuzi watakukumbuka kweli?!.
Wapi nimesema kuwa Sugu hamiliki 3 stars hotel.....?? acha kuweweseka.Sugu anamiliki 3 stars hotel ...acha kujitekenya
Heee! Yule mama kafa?Ni kweli Kuna mwenzenu alisema ushindi wa CCM ni lazima Mungu atake asitake ushindi ni lazima bahati mbaya amefariki wiki iliyopita.Hii ni picha halisi kuwa CCM kwenu MUNGU siyo chochote!
Comrade pole sana kama hayo ndio maisha yako.Ujinga ni kusema tuchape kazi wakati hata kibaruwa huna na unakaa kwa shemeji.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mmoja alikaushiwa ubalozini.Hao watuhumiwa waliokimbia waliwahi kutajwa na kutafutwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchapisha kura fake?
Shenzi kabisa.Intelligencia ilikuwa wapi Hadi wajikamatishe wenyewe
Umeelewa swali nililokuuliza?!Hao watuhumiwa waliokimbia waliwahi kutajwa na kutafutwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchapisha kura fake?Mmoja alikaushiwa ubalozini.
Mmoja alikaushiwa ubalozini.Umeelewa swali nililokuuliza?!Hao watuhumiwa waliokimbia waliwahi kutajwa na kutafutwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchapisha kura fake?
"Alikaushiwa" unamaanisha nini?Mmoja alikaushiwa ubalozini.
Mmeiba Hadi kupitiliza mngeacha hata wageni angalau 20 hivi Kama lengo lilikuwa ni kuwaondoa wakongwe.Shenzi kabisa.
Kabisa mkuu.Mkuu umemjibu vizuri sana wala asifikili wale waliouwawa hawakuwa uzao wa Adam tena kwa taarifa yake wengi wa mataifa yaliyouliwa walikuwa ni uzao wa Ibrahim na Luttu mpwa wake.
Wa mama ako ndio ulikua wa haki kuolewa na baba ako shame on you kunguru weweUchaguzi ulikuwa huru na wahaki. Watanzania wameamua kuchagua.
Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki,na soon BAWACHA viti maalum wataapishwa kwenye bungeletu tukufu.Wa mama ako ndio ulikua wa haki kuolewa na baba ako shame on you kunguru wewe