Kwa waliozaa kabla ya ndoa

Kwa waliozaa kabla ya ndoa

........Akilelewa na baba wa kambo is okay, sababu mimi nitakuwa naye mwanangu muda wote.

Na baba wa kambo akishanipenda mimi, basi atampenda na mwanangu. Wanaume wengi hawanaga tatizo na watoto wa kambo kama wanawake.

Unaongozwa na mihemko tu huna hoja zaidi ya kujawa na ubinafsi, hakuna mzazi mwenye haki zaidi ya mwenzanke na ningependa utumie neno "mtoto wetu" na siyo mtoto wangu. Au ulizaa na sperm donor?
 
kubaliana na masharti ya mkeo.....huyo uliyezaa nae jaribu kumwelewesha vizuri......kwamba ili kuepusha mengine akubaliane tu na mashart ya mkewe.....

Hapo mkeo yupo sawa kabisa...! Afike kwako ili iwaje? Kama mama mtoto anataka kumuona mwanae amfate sehemu tu, sio kwako!

Mimi ni mwathirika wa hio kitu lakini kamwe hawezi kuja nyumbani. Mke wa jamaa ana akili na busara sana
 
kwa nini we usimpeleke kwa mama ake cku za wikendi au likizo akumuona mama ake? huyo mkeo kuwa nae makini mtoto ndo ndg yako ye mpita njia tu. be strong kufanya maamuz ktk familia mtoto aende kumuona mama ake kila likizo kwa sababu inaoneka huyo mkeo hataki mtoto aende kwa nyumbani kwa mama ake hila wakuta njiani tu sio sahihi kbs.
 
mrudishe huyo mtoto kwa mama yake ,ki mila na kiiman huna haki na huyo mtoto kama unataka mtumie matumizi ila mwache mama yake apange mtoto wake anataka aishi je
sawa.
 
yaani ukiona mwanamke anaye mzuia mwanamke mwenzie asije mwona mwanae hapo jua kunatatizo. jamani kwani huyu kaka akiamua kurudi kwa huyo alie zaa nae utamfanya nini?? bro huyo mama ana haki ya kumwona mtoto. kama inawezekana mpeleke boarding mtoto ingwa me sihafika kabisa. ili kili mtu awe na uhuru wa kumwona mtoto pili akipata likizo mwambie mama yake aje kumchukua shule na kumrudisha umrudishe wewe ila makabiziano yawe ustawi wa jamii. ila mkeo anagubu maana ataibua lingine tu pole sana
 
Wewe utakuwa ni mgeni hapa JF.

Kwa hisani ya Pdidy legal & co, Ltd.

Haha,hii ya leo imezidi nyingine huwa namezea ila ya leo nimeshindwa kuvumilia....
 
Last edited by a moderator:
Chunguza kwa umakini mkubwa juu ya upendo wa mkeo kwa mwanao. Ukiwa na uhakika kuwa mwanao anapata upendo unaotegemewa kutoka kwa mkeo, tafakari juu ya nafasi ya mama mzazi mwenzako kwa mwanao.

Kujua kama mkeo ana upendo thabiti kwa mwanao itakupa nafasi nzuri zaidi ya kujua mtoto huyo aishi kwako kwa wakati fulani au wakati wote ni aheri aishi kwa mama yake.

Wewe kwenda kumtazama mtoto kila mara kwa mama yake au mzazi mwenzio kuja kumtazama mwanae kwako kila mara, vyote vina madhara kwa mwanao kisaikolojia. Mtoto atajiona kuwa ni tofauti na watoto wako wengine au watoto wengine wa mzazi mwenzako, kama anao.

Ushauri wangu ni kwamba kama una uhakika na upendo wa mkeo kwa mtoto wako, zungumza na Mama wa mtoto ili muweke utaratibu unaoeleweka. Mtoto anaweza kuishi kwako au kwa Mama yake, wakati wa likizo atapumzika kwako au kwa Mama yake. Kama ataishi kwako, likizo aende kwa Mama yake. Kama ataishi kwa Mama yake, likizo ataishi kwako. Kama anaumwa, yeyote atakuwa na uhuru wa kwenda kumwona mwanaye aliko bila masharti yoyote.

Kama mkeo atagomea hata proposal hii, ujue ana matatizo, na mwanao yupo hatarini. Ni aheri kumnyanyasa mtu mzima mwenye uwezo wa kujitetea kuliko kuruhusu mtoto kunyanyasika. Ni aheri uonekane humfurahishi mkeo ambaye ana uwezo wa kujitetea kuliko kuruhusu mtoto anyanyasike kwaajili ya kumfurahisha mkeo.
 
Ushauri mzuri sana huu. Soon nitakuwa kwenye position ya mleta mada. Moja ya Jambo ambalo limekuwa lina niumiza kichwa ni hili

Mzee wangu alinipa ushauri kama huu wa kumpeleka mtoto boarding lakini boarding kwa mtoto mdogo nayo ni tatizo kidogo. Utashindwa kumfuatilia maendeleo yake kwa ukaribu ukizingatia walimu wenyewe hawa wa siku hizi ni tabu. Lakini pia wakati wa likizo bado tatizo litakuwa palepale.

Mimi Nadhani kama unaishi na wazazi wako Au shangazi yako mkoa mmoja mtoto awe anapelekwa Huko halafu mama yake anaenda kuonana naye. Kuwe na kuna ratiba maalumu,Mfano kila Jmosi.

Kimsingi mke wako yupo sahihi,huyo mama wa mtoto wako hatakiwi kabisa kugusa kwenu wala mtoto hatakiwi kwenda kwake maana atamjaza ujinga.

Y asiende kwake wakati ni kwa mamake?mtoto anakuwa waki mara yupo kwa shangaz,mara kwa uncle,hatulii?ana haki na yeye kumbuka
 
Kipi kilikufanya usifunge ndoa na mama mwenye huyo mtoto? Kwa nini mkeo hataki yule mtoto aonane na mama yake nyumbani kwa mama yake? Jiandae kukabiliana na mziki mnene siku mtoto huyo anafunga ndoa wakati mkeo na mama wa mtoto wako hai!!!
 
Watu bwana!!! Umeoa but hata hili linakushinda! Utaweza pata hata nafasi ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi kweli wew? Kwa kweel..ni xhida.

Msikilize mkeo. Mpe nauli mtoto akamsalimu mamake. Hizo ni tawala mbili zinazojitegemea...ACHA KUWA GOMBANISHA WAMAMA WEWE!!! EBO!!!
 
Duuh kumbe ni halitete hivo. ngoja tujitunze tu tuzipate nje ya ndoa
 
Kwakweli hili suala limenigusa sana. Nilizaa na mwanamume aliekuwa mpenzi wangu hatukuweza ishi pamoja nikaondoka na mtoto kwetu hawakupendezwa na mimi kuzaa bila kuolewa walikuwa sahihi, niliendeleza maisha na mtoto wangu kwa muda wa mwaka mmoja ndipo niliezaa nae akaniomba nimpeleke mtoto kwa mama yake nikampeleka baadae ikatolewa sugestion niwakabidhi mtoto akiacha kunyonya,nikaona si busara ndipo walipomuiba akiwa na miaka mitatu nikafuatilia mahakamani na Kivulini pia lkn kote sikupata msaada,nikaishia kusikia mtoto yupo huku mara kule, nikaenda nikamchukua, nikashtakiwa kwa wizi wa mtoto, nikanyanganywa mtoto niliezaa mwenyewe akiwa na miaka mitatu baba yake akakabidhiwa kwa amri ya mahakama ya mwanzo. NIKAWEKEWA wanted nisionekane maeneo yakwao. Baadae sikujua mtoto alipo tena hadi mwaka juzi akiwa darasa la pili ndipo nilipotafutwa na baba wa mtoto akidai mwanao ananisumbua njoo umsalimie, nikaenda baadae mtoto akalilia kwenda na mimi nikapewa wiki moja niende nae nitamrudisha, nikakaa nae nikamrudisha. Nikapewa masharti kuwa nikitaka tena kumuona mtoto sharti nipige simu kwa mkewe na approve ndipo nitamuona,anyway nilimuomba Mungu azidi kunipa ujasiri. Siku moja ilikuwa siku ya kuzaliwa kwake mtoto nikawapigia simu nilete zawadi lol nilijibiwa kuwa sijawahi zaa hivyo sina mtoto km huyo. Nilipiga moyo konde nikaenda hadi hapo kwao nikampa mtoto zawadi nikaondoka wakiniangalia. From that wamehama na sasa ni mwaka wa pili sijamuona tena mtoto wangu na anatimiza miaka kumi.

Reason kubwa ya kutokuwa na access na mtoto kwa mujibu wa baba yake ni kwamba anampenda sana amefanana nae.
 
Kwakweli hili suala limenigusa sana. Nilizaa na mwanamume aliekuwa mpenzi wangu hatukuweza ishi pamoja nikaondoka na mtoto kwetu hawakupendezwa na mimi kuzaa bila kuolewa walikuwa sahihi, niliendeleza maisha na mtoto wangu kwa muda wa mwaka mmoja ndipo niliezaa nae akaniomba nimpeleke mtoto kwa mama yake nikampeleka baadae ikatolewa sugestion niwakabidhi mtoto akiacha kunyonya,nikaona si busara ndipo walipomuiba akiwa na miaka mitatu nikafuatilia mahakamani na Kivulini pia lkn kote sikupata msaada,nikaishia kusikia mtoto yupo huku mara kule, nikaenda nikamchukua, nikashtakiwa kwa wizi wa mtoto, nikanyanganywa mtoto niliezaa mwenyewe akiwa na miaka mitatu baba yake akakabidhiwa kwa amri ya mahakama ya mwanzo. NIKAWEKEWA wanted nisionekane maeneo yakwao. Baadae sikujua mtoto alipo tena hadi mwaka juzi akiwa darasa la pili ndipo nilipotafutwa na baba wa mtoto akidai mwanao ananisumbua njoo umsalimie, nikaenda baadae mtoto akalilia kwenda na mimi nikapewa wiki moja niende nae nitamrudisha, nikakaa nae nikamrudisha. Nikapewa masharti kuwa nikitaka tena kumuona mtoto sharti nipige simu kwa mkewe na approve ndipo nitamuona,anyway nilimuomba Mungu azidi kunipa ujasiri. Siku moja ilikuwa siku ya kuzaliwa kwake mtoto nikawapigia simu nilete zawadi lol nilijibiwa kuwa sijawahi zaa hivyo sina mtoto km huyo. Nilipiga moyo konde nikaenda hadi hapo kwao nikampa mtoto zawadi nikaondoka wakiniangalia. From that wamehama na sasa ni mwaka wa pili sijamuona tena mtoto wangu na anatimiza miaka kumi.

Reason kubwa ya kutokuwa na access na mtoto kwa mujibu wa baba yake ni kwamba anampenda sana amefanana nae.

Kuna ukweli umeuficha hutaki kuweka wazi, tupo watu wazima tuna PHD ya haya makitu.
 
Kwakweli hili suala limenigusa sana. Nilizaa na mwanamume aliekuwa mpenzi wangu hatukuweza ishi pamoja nikaondoka na mtoto kwetu hawakupendezwa na mimi kuzaa bila kuolewa walikuwa sahihi, niliendeleza maisha na mtoto wangu kwa muda wa mwaka mmoja ndipo niliezaa nae akaniomba nimpeleke mtoto kwa mama yake nikampeleka baadae ikatolewa sugestion niwakabidhi mtoto akiacha kunyonya,nikaona si busara ndipo walipomuiba akiwa na miaka mitatu nikafuatilia mahakamani na Kivulini pia lkn kote sikupata msaada,nikaishia kusikia mtoto yupo huku mara kule, nikaenda nikamchukua, nikashtakiwa kwa wizi wa mtoto, nikanyanganywa mtoto niliezaa mwenyewe akiwa na miaka mitatu baba yake akakabidhiwa kwa amri ya mahakama ya mwanzo. NIKAWEKEWA wanted nisionekane maeneo yakwao. Baadae sikujua mtoto alipo tena hadi mwaka juzi akiwa darasa la pili ndipo nilipotafutwa na baba wa mtoto akidai mwanao ananisumbua njoo umsalimie, nikaenda baadae mtoto akalilia kwenda na mimi nikapewa wiki moja niende nae nitamrudisha, nikakaa nae nikamrudisha. Nikapewa masharti kuwa nikitaka tena kumuona mtoto sharti nipige simu kwa mkewe na approve ndipo nitamuona,anyway nilimuomba Mungu azidi kunipa ujasiri. Siku moja ilikuwa siku ya kuzaliwa kwake mtoto nikawapigia simu nilete zawadi lol nilijibiwa kuwa sijawahi zaa hivyo sina mtoto km huyo. Nilipiga moyo konde nikaenda hadi hapo kwao nikampa mtoto zawadi nikaondoka wakiniangalia. From that wamehama na sasa ni mwaka wa pili sijamuona tena mtoto wangu na anatimiza miaka kumi.

Reason kubwa ya kutokuwa na access na mtoto kwa mujibu wa baba yake ni kwamba anampenda sana amefanana nae.

Daaah aisee umenihuzunisha sana. Umebeba mimba miezi tisa....umeenda leba umenyonyesha af mtu anakunyang'anya mtoto hivihivi.....ningekuwa mimi ningemuiba nitokomee nae huko
 
Mimi ni mwanaume nilibahatika kupata mtoto wa kiume nje ya ndoa.
Sasa miaka 10 baadae nimeoa na nimemchukua huyu mtoto wangu naishi naye.

Sasa mke wangu ameniwekea masharti ambayo nafikiri ni magumu kutekelezeka. Naamini kuwa mwanamke niliye zaa naye ana haki ya kumuoma mtoto wake kila anapohitaji kufanya hivyo.

Sasa mke wangu hataki huyu mama mtoto afike nyumbani kumuona. Hataki mtoto aende kwa mama yake. Anataka mama mtoto akitaka mtoto tumtume housegirl ampeleke mtoto hoteli foleni halafu wakimaliza kuongea arudi naye.

Hali hii imeniingiza kwenye migogoro maana mama mtoto anaona namnyanyasa na upande mwingine mke wangu anaona pia namnyanyasa.

Hebu niambieni what is the beat way ku deal na hii situation?

Upo kijiji gani? Ndoa ina miaka 10, mtoto atakuwa na miaka 11... Je, ni wa kusindikizwa na dada kweli? Ila nadhani unahitaji ushauri kutoka kanda ya ziwa, hasa hasa MARA.
 
rudisha mtoto kwa mama yake toa hela ya matumizi hakuna mwanamke anaweza ishi na mtoto wa mwenzie kwa amani .. lazima utamtesa mtoto tu
 
Back
Top Bottom