LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,510
Hii ndio price ya kuzaa nje...pay the price dude like a man!....Ushauri ni kupoteza muda tu.
sijui nisemeje, lakini ukweli haiwezekani huyo mama wa mtoto aje hapo kuona mtoto, tena haikubaliki, moyo wa mwanamke umebeba mengi, yaani sijui ni semeje ili unielewe, tafuta namna ambayo mama wa mtoto atamuona mwanae lakini sio nyumbani ukoishi na mkeo, kama inawezekana huyo bidada anakaa karibu basi awe anapelekewa mtoto anashinda nae au kukaa nae then anamtuma mtu anamrudisha, sio habari ya yeye kukanyaga hapo nyumbani, kwanza unaweza kusabisha matitizo ambayo hukutarajia, unajua akili za wanawake wewe? kwanza hata wewe acha kucheka cheka na huyo mwanake, mlizaa yakaisha, hapo ni suala la mtoto tu, habari ya mazoea ya kufuatana nyumbani mmhm!, awe anapelekewa mtoto kwishaaaaaa.
Mungu weeeee! ningekuwa mimi hata muda wa kuja jf kuuliza usingepata, siku nyingi ningekuwa nimefanya maamuzi magumu, mwanamke aliezaa na mme wangu aje nyumbani kwangu. kiruuuu
Mkeo yuko sawa.fanya mkeo amgezaa kabla na sasa anakuja nyumbani yule bwana alozaa nae,niambie utajisikiaje?
Niliwahi kuishi na bro wangu pale Arusha miaka ya 2006, yeye kabla ya kufunga ndoa na mkewe tayari alikwishazaa nje watoto wa3, wakike yupo kateshi, wakike yupo mbulu na wakiume yupo kisongo ila hakuwa amemwambia mkewe.
Alipoamua kufunga ndoa mke wake wa sasa aliyezaa naye watoto wawili aliamua kutest zali la kumweleza mkewe na kwenda kumchukua yule mtoto wa kiume pale kisongo akiwa darasa la nne na kuja kuishi naye ngusero akisoma s/m sokoni one.
Maskini mtoto alinyanyaswa na kuteswa na yule shemeji mpaka huruma, akampa marufuku mama yake kuja kumwona pale nyumbani, shuleni wala kanisani au hata kuongea kwa simu.
Mtoto akawa anajaribu kutoroka kwenda kwa mama yake anakaa huko wk 2 basi akirudi pale home atasemwa na kusingiziwa kuwa katoka kuchukua madawa ya uchawi ya kumuua yule shemeji ili mama yake arudie ndoa na yule mtoto atanyolewa nywele zote za kichwani, kwapani mpaka matako.ni ili atolewe huo uchawi.
Hayo yalikuwa yanafanywa na shem bila bro kujua na kale katoto kalikuwa hakasemi ila alipokuja kugundua akaamua kumhamisha shule na kumpeleka kwa bibi yake huko songea ndo ikawa pona ya yule mtoto.
Baadhi ya wanawake ni makatili sana kwa watoto ambao sio wao na akipata mwanya wa kumfanya atakacho anamfanya kweli huyo mtoto.
Mimi ni mwanaume nilibahatika kupata mtoto wa kiume nje ya ndoa.
Sasa miaka 10 baadae nimeoa na nimemchukua huyu mtoto wangu naishi naye.
Sasa mke wangu ameniwekea masharti ambayo nafikiri ni magumu kutekelezeka. Naamini kuwa mwanamke niliye zaa naye ana haki ya kumuoma mtoto wake kila anapohitaji kufanya hivyo.
Sasa mke wangu hataki huyu mama mtoto afike nyumbani kumuona. Hataki mtoto aende kwa mama yake. Anataka mama mtoto akitaka mtoto tumtume housegirl ampeleke mtoto hoteli foleni halafu wakimaliza kuongea arudi naye.
Hali hii imeniingiza kwenye migogoro maana mama mtoto anaona namnyanyasa na upande mwingine mke wangu anaona pia namnyanyasa.
Hebu niambieni what is the beat way ku deal na hii situation?
Mpeleke mtoto boarding school visiting day Mama yake ataenda huko.
Ila una mtihani mgumu sana kimaisha wengi hapa hawaelewi ni wepesi tu kukushauri waonavyo.
Mtoto anahitaji kumjenga kisaikolojia kwa nini hauishi na Mama yake. Pole sana.
Niliwahi kuishi na bro wangu pale Arusha miaka ya 2006, yeye kabla ya kufunga ndoa na mkewe tayari alikwishazaa nje watoto wa3, wakike yupo kateshi, wakike yupo mbulu na wakiume yupo kisongo ila hakuwa amemwambia mkewe.
Alipoamua kufunga ndoa mke wake wa sasa aliyezaa naye watoto wawili aliamua kutest zali la kumweleza mkewe na kwenda kumchukua yule mtoto wa kiume pale kisongo akiwa darasa la nne na kuja kuishi naye ngusero akisoma s/m sokoni one.
Maskini mtoto alinyanyaswa na kuteswa na yule shemeji mpaka huruma, akampa marufuku mama yake kuja kumwona pale nyumbani, shuleni wala kanisani au hata kuongea kwa simu.
Mtoto akawa anajaribu kutoroka kwenda kwa mama yake anakaa huko wk 2 basi akirudi pale home atasemwa na kusingiziwa kuwa katoka kuchukua madawa ya uchawi ya kumuua yule shemeji ili mama yake arudie ndoa na yule mtoto atanyolewa nywele zote za kichwani, kwapani mpaka matako.ni ili atolewe huo uchawi.
Hayo yalikuwa yanafanywa na shem bila bro kujua na kale katoto kalikuwa hakasemi ila alipokuja kugundua akaamua kumhamisha shule na kumpeleka kwa bibi yake huko songea ndo ikawa pona ya yule mtoto.
Baadhi ya wanawake ni makatili sana kwa watoto ambao sio wao na akipata mwanya wa kumfanya atakacho anamfanya kweli huyo mtoto.
Wewe ni mzungu ? Kama mwafrika piga ngumi za kutosha huyo mkeo, masharti unapanga wewe hapangi mke mbona wanaume wa kihaya ni vibonde hivi
Mimi ni mwanaume nilibahatika kupata mtoto wa kiume nje ya ndoa.
Sasa miaka 10 baadae nimeoa na nimemchukua huyu mtoto wangu naishi naye.
Sasa mke wangu ameniwekea masharti ambayo nafikiri ni magumu kutekelezeka. Naamini kuwa mwanamke niliye zaa naye ana haki ya kumuoma mtoto wake kila anapohitaji kufanya hivyo.
Sasa mke wangu hataki huyu mama mtoto afike nyumbani kumuona. Hataki mtoto aende kwa mama yake. Anataka mama mtoto akitaka mtoto tumtume housegirl ampeleke mtoto hoteli foleni halafu wakimaliza kuongea arudi naye.
Hali hii imeniingiza kwenye migogoro maana mama mtoto anaona namnyanyasa na upande mwingine mke wangu anaona pia namnyanyasa.
Hebu niambieni what is the beat way ku deal na hii situation?