FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Wewe hujui chochote kuhusu snow cream!
Duh! duka letu nisilijuwe? Unanchekesha!
Wewe kweli punguani.
Wewe hujui chochote kuhusu snow cream!
dah ama kweli sote tunapita.. mwlm Saiwadi alikua mwalimu mkuu wangu kabla ya mama Chuma... Niliwahi muona mwaka jana hakua kama mwlm Saiwad niliewahi mfahamu.. Dah Mungu amrehemu kwa kweli..
Ipo kwenye uchochoro fulani opp na bank ya NBC. Ukifika maeneo hayo unaomba mtu akuelekeze.
ahsante kwa taarifa nikijaliwa nitapita
Duka la kwenu wapi acha kurukia sehemu za watu wee gamba
Ilikuwa raha sana kwenda Drive Inn cinema halafu mnakula chips kuku kwenye gari mnachek movie.
Those good old days!
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Hivi wewe unafikiri mie ni mwenzako eeh?
Dar ina wenyewe hii, wewe wakuja tu.
Hawa wakuja enzi wapo likizo shuleni wakija Dar tulikuwa tunawapeleka uwanja wa ndege wakashangae kidogo.
Tunawapandisha kwenye ma Ikarus Kumbakumba hao tunaenda uwanjani.
Wakirudi huko makwao ndo wanaanza kujiona wajanja!
Ukisema chips kuku kwa baadhi ya watu ulikuwa unaonekana mshamba flani hivi....
Eti unatakiwa kusema 'chicken n' chips':biggrin::biggrin:
Duka la kwenu wapi acha kurukia sehemu za watu wee gamba
Ilikuwa raha sana kwenda Drive Inn cinema halafu mnakula chips kuku kwenye gari mnachek movie.
Those good old days!
Snow cream,wamerudi wako palepale kwenye jengo jipya!!
Insha Allah Amiin, ni kweli Mwl wenu alipata stroke then the condition didn't get better mpaka anafariki
Mungu amrehemu..
Ilikuwa raha sana kwenda Drive Inn cinema halafu mnakula chips kuku kwenye gari mnachek movie.
Those good old days!
Nimesikitika sana kusikia Mwl James Alifariki,nakumbuka tuition za Jumamosi,alikuwa mkali ila alikuwa anapendwa sio kama JJ.
sasa nawewe chamtoto tuliosoma hapo 1965 tupo kimya. Ila nachokumbuka kipindi hcho tulikuwa tunakula mihogo na samaki wa pale feri posta ya zamani. Kipindi hicho ilikuwa raha sana
Nakumbuka Mwl. James ndio alitupeleka Bagamoyo for the first time.
R.I.P
Hivi kale ka-kibanda pale katikati ya shule chini, kalikuwa ka hali ya hewa au maana baadhi yetu tulikuwa tunakamata ndege na kwenda kuwafungia mule.
Utoto jama
sisi tulimaliza 1979...darasa letu ni akina AZIZI LUPATU,MAIMUNA CHUSU,ANDETILE SANGA,RODRICK,HENRY MWANGA,GRACE KALENYULA,JOVINA TIBENDA,SHEILA RASHID...NA DADA YAKE ALIKUWA DARASA LA JUU SAIDA RASHID,CHRISTINA NGONYANI,SUZAN KIANGO,FATUMA MTAMBO,BENBELLA,NEEMA MWANGAMA,ROSE NDERUMAKI NA WENGINE WENGI
Mwalimu Julius alikuwa nuksi ashanipiga sana