Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Hahaha pia alikuwepo Mwalimu Nyalika wa English, Mwalimu Bange wa Hisabati na Mwalimu Tarimo wa Sayansi Kimu na Mwalimu Matata.Nakumbuka siku za Ibada pale St Joseph nadhani siku za Jumatano asubuhi.
Bakara za Mwalimu Julus nazikumbuka mpaka leo nikiwa class monitor at STD VA.
RIP Mwal James-Alinifanya niipende sayansi na kuiweza mpaka leo.
Nice thread........!

Mwalimu Julius alikuwa nuksi ashanipiga sana
 
Na yule muuza pili getini tulikuwa tu nampa tabu sana wakati wa kutoka lazima tubutue biashara yake ....
 
Wote nyie cha mtoto, waliomaliza std 7 1977 wajitokeze. Mariam saidi, Pauleta Nyerere, Asumpa ndeji, Gladys Butiku, Robert Jana, Semu Mwaijande, Fortunata Makafu, Richard Kashinde, Eliza Guveti. Walimu Josephne Mahiga, mwl Mbuya, mwal Kagisa, mwl Kasdam muhindi, mkiingia asubuhi gate likifungwa hakuna kutoka mpaka saa sita kwenda kula mchana darasa linaendelea. Those days njooni wakongwe tukumbukane. Asubuhi sala oh God ur greater...
 
Dah madame B mi nakumbukaga sana muda ile ya mapumziko mchana mi na rafiki yangu mmoja hivi anaitwa Clara munisi tulikuwa tunaenda pale fast food mfukoni tuna 300 tu hata uwezo wa kununua chakula hatuna apo fast food tunaambulia harufu tamu ya mahanjumati kisha haoo tumeridhika na harufu tunarudi shule na njaa zetu

hahahahaha...hivi clara yupo wapi siku hizi?
 
Wote nyie cha mtoto, waliomaliza std 7 1977 wajitokeze. Mariam saidi, Pauleta Nyerere, Asumpa ndeji, Gladys Butiku, Robert Jana, Semu Mwaijande, Fortunata Makafu, Richard Kashinde, Eliza Guveti. Walimu Josephne Mahiga, mwl Mbuya, mwal Kagisa, mwl Kasdam muhindi, mkiingia asubuhi gate likifungwa hakuna kutoka mpaka saa sita kwenda kula mchana darasa linaendelea. Those days njooni wakongwe tukumbukane. Asubuhi sala oh God ur greater...

mkuu,shikamoo. miaka ya sabini mwanzoni mzee wangu alisoma sekondary hapo.
 
Wote nyie cha mtoto, waliomaliza std 7 1977 wajitokeze. Mariam saidi, Pauleta Nyerere, Asumpa ndeji, Gladys Butiku, Robert Jana, Semu Mwaijande, Fortunata Makafu, Richard Kashinde, Eliza Guveti. Walimu Josephne Mahiga, mwl Mbuya, mwal Kagisa, mwl Kasdam muhindi, mkiingia asubuhi gate likifungwa hakuna kutoka mpaka saa sita kwenda kula mchana darasa linaendelea. Those days njooni wakongwe tukumbukane. Asubuhi sala oh God ur greater...
Shikamoooo
 
hahahahaha...hivi clara yupo wapi siku hizi?

Dah yani hta cjui yuko wapi niliwahi kukutana naye muda mrefu sn kene basi yeye alikuwa anaelekea chuo cha cbe ndipo alipokuwa anasoma.kwa sasa cjui tena yuko wapi as tulipotezana kimawasiliano
 
Wote nyie cha mtoto, waliomaliza std 7 1977 wajitokeze. Mariam saidi, Pauleta Nyerere, Asumpa ndeji, Gladys Butiku, Robert Jana, Semu Mwaijande, Fortunata Makafu, Richard Kashinde, Eliza Guveti. Walimu Josephne Mahiga, mwl Mbuya, mwal Kagisa, mwl Kasdam muhindi, mkiingia asubuhi gate likifungwa hakuna kutoka mpaka saa sita kwenda kula mchana darasa linaendelea. Those days njooni wakongwe tukumbukane. Asubuhi sala oh God ur greater...

Duh wengine hata kuzaliwa bado! Ila mimi hapo niko darasa la nne!
 
Nilichoshangaa ni kudumu kwa mrs Mbuya na ukuu wa shule toka enzi zetu mpaka zenu
 
Wote nyie cha mtoto, waliomaliza std 7 1977 wajitokeze. Mariam saidi, Pauleta Nyerere, Asumpa ndeji, Gladys Butiku, Robert Jana, Semu Mwaijande, Fortunata Makafu, Richard Kashinde, Eliza Guveti. Walimu Josephne Mahiga, mwl Mbuya, mwal Kagisa, mwl Kasdam muhindi, mkiingia asubuhi gate likifungwa hakuna kutoka mpaka saa sita kwenda kula mchana darasa linaendelea. Those days njooni wakongwe tukumbukane. Asubuhi sala oh God ur greater...

Haya nawe ujue una wakubwa wako sisi wa std 7 (1973) Mwalimu wetu Mkuu alikuwa Mrs Simkoko hebu waje hapa Mpeli Nsekela,Grace Mushi,Richard kusiga,Nuru Omari,Eva saidi,Joyce Mwombela,Regina Mariale,Tirio Mango,Samuel Milinga,Rosemary Nyerere,Mwinyi Mangara,Veneranda Luhanga,Princely Muro,Humphrey Omary,hawa wengine nawakumbuka kwa jina moja nao ni Parkimelo,Patrick (alikuwa anaishi kigamboni),Ndunguru,Generoza, Philomena na mwisho kulikuwa na wachina walikuwa wanaishi keko majina nimewasahau.

haya mpo hapo!
 
Haya nawe ujue una wakubwa wako sisi wa std 7 (1973) Mwalimu wetu Mkuu alikuwa Mrs Simkoko hebu waje hapa Mpeli Nsekela,Grace Mushi,Richard kusiga,Nuru Omari,Eva saidi,Joyce Mwombela,Regina Mariale,Tirio Mango,Samuel Milinga,Rosemary Nyerere,Mwinyi Mangara,Veneranda Luhanga,Princely Muro,Humphrey Omary,hawa wengine nawakumbuka kwa jina moja nao ni Parkimelo,Patrick (alikuwa anaishi kigamboni),Ndunguru,Generoza, Philomena na mwisho kulikuwa na wachina walikuwa wanaishi keko majina nimewasahau.

haya mpo hapo!

hahahahahaha....shkamoo mkubwa.
 
Dah yani hta cjui yuko wapi niliwahi kukutana naye muda mrefu sn kene basi yeye alikuwa anaelekea chuo cha cbe ndipo alipokuwa anasoma.kwa sasa cjui tena yuko wapi as tulipotezana kimawasiliano

Aisee...nataka niwatrace karibu wote tukutane.ambao tunawasiliana hawapungui ishirini.lily nyamanzawa nimempata mwaka jana mwishon nadhan,unamkumbuka?
 
Aisee...nataka niwatrace karibu wote tukutane.ambao tunawasiliana hawapungui ishirini.lily nyamanzawa nimempata mwaka jana mwishon nadhan,unamkumbuka?

Ndio namkumbuka lily,je hao wote 20 umewapataje Ndugu au kuna mtandao wa wasap mmeutengeneza mnaonana uko ee
 
Afu mkuu spider una kumbukumbu kweli mtu wangu hongera mi wengine nimewasahau kwa majina ila ww unawakumbuka mpaka ubini wao umetisha sana mkuu ha ha haa
 
Wote nyie cha mtoto, waliomaliza std 7 1977 wajitokeze. Mariam saidi, Pauleta Nyerere, Asumpa ndeji, Gladys Butiku, Robert Jana, Semu Mwaijande, Fortunata Makafu, Richard Kashinde, Eliza Guveti. Walimu Josephne Mahiga, mwl Mbuya, mwal Kagisa, mwl Kasdam muhindi, mkiingia asubuhi gate likifungwa hakuna kutoka mpaka saa sita kwenda kula mchana darasa linaendelea. Those days njooni wakongwe tukumbukane. Asubuhi sala oh God ur greater...

shikamoo
 
Back
Top Bottom