Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

mrangi

JF-Expert Member
Feb 19, 2014
80,835
106,037
Habari yenu wanaJF,

Kama kuna wanaJF waliosoma shule ya msingi Forodhani na kumaliza 1992 au 1993 tujulishane.Nakumbuka mwalimu alikuwa mwalimu Mbuya,kuna baadhi ya walimu kama mwalimu Julius dah huyu alikuwa anachapa bakora hatari.

Kulikua na mwalimu James huyu alikuwa kama bondia,mwalimu Manyama, mwalimu Matata hao ni baadhi ya maticha tu.

Kitu kingine nachokumbuka ni ile mihogo ya kule baharini mnaikumbuka? Kingine ninachokumbuka tulikuwa tunafanya somo la ushonaji kulikuwa na sista mmoja wa kijerumani mfupi alikuwa mkali kama pilipili.

Hapo shuleni hapo kila Jumatano au Ijumaaa ilikuwa inakuja gari la matunda tunajisevia.

Elimu ilikua bora ada ilikua chini.Nakumbuka hadi huyu mtoto wa mkulu sasa hivi mwenye mambo mengi tulikuwa naye hapo shule.

Kwa kusema ukweli naikumbuka sana Forodhani shule ya msingi, kingine nachokumbuka wapinzani wetu wakuu walikuwa bunge shule ya msingi.

Kuna wanafunzi kama Alex Kitomari (RIP),Walter Mazula (RIP) na wengine baadhi yao wako mpaka leo.

Kama ulisoma hapo changia kumbukumbuku zako na wewe.

Naimis shule hiyo...never be the same again.

Natanguliza salamu.
 
Hongera mliokula chumvi zenu..

Hivi hiyo Forodhani si ndo sasa hivi ni.St. Joseph Millenium iliyorudishwa na Serikali kwa Kanisa..?

Sasa hivi imekuwa Bonge ya shule
 
Hahaa...umenikumbusha mbali sana. Kulikuwa na Mangi muuza chips. Chips zake zilikuwa zinaanzia shilingi 20...alikuwa anapunja balaa... yaani ukizubaa tu umewekewa vipande 10 tu vya chips. Ikifika muda wa mapumziko lazima mjazane kwa Mangi. Maembe ya shilingi 5 na 10 na mpira wa chandimu kwenye uwanja wa lami. Mwalimu Julius a.k.a J.J, Mwalimu Mwalongo, Shirima. Nasikia mwalimu James amefariki (R.I.P). Halafu ile bendi ya asubuhi ilikuwa imetulia sana.
 
Hahaa...umenikumbusha mbali sana. Kulikuwa na Mangi muuza chips. Chips zake zilikuwa zinaanzia shilingi 20...alikuwa anapunja balaa... yaani ukizubaa tu umewekewa vipande 10 tu vya chips. Ikifika muda wa mapumziko lazima mjazane kwa Mangi. Maembe ya shilingi 5 na 10 na mpira wa chandimu kwenye uwanja wa lami. Mwalimu Julius a.k.a J.J, Mwalimu Mwalongo, Shirima. Nasikia mwalimu James amefariki (R.I.P). Halafu ile bendi ya asubuhi ilikuwa imetulia sana.

uwiiii...wapi teacher mkuu Fadhili Saiwadi.
wapi Mangi muuza chipsi, wapi babu jinga na ice cream zake., Masoud wa pipi.
wapi teacher Mwalongo, teacher Kimath, Chuma, Jamani mwl James amefariki???!!!!!! R.i.p
CC: Natalia

Sunvita nazikumbukaje.
Jamani Snow cream.....karibu na Tahfif
 
Last edited by a moderator:
Namkumbuka mwalimu Ngido,Msaki,Asha,Kayombo,Kimathi (a.k.a mama Kelvin)
Juice kwa cha upepo pale karibia na geti....siku ya dini jtano tunaelekea st joseph,Sambusa za caritas nazo we acha.
Jamani mwalimu mushi yupo???
 
...daaa bendi ilikuwa imetulia kinooma...vikaptula vya blue. Sidhani kama vitambaa vya aina ile bado vinapatikana
 
Namkumbuka mwalimu Ngido,Msaki,Asha,Kayombo,Kimathi (a.k.a mama Kelvin)
Juice kwa cha upepo pale karibia na geti....siku ya dini jtano tunaelekea st joseph,Sambusa za caritas nazo we acha.
Jamani mwalimu mushi yupo???

Ooh, st. jopeph...nakumbuka kuna wakati nilikuwa lazima nitimbe misa ya asubuhi kila siku kabla ya parade...Kitu muhimu tulichokosa ilikuwa kiwanja kwaaajili ya michezo
 
Ooh, st. jopeph...nakumbuka kuna wakati nilikuwa lazima nitimbe misa ya asubuhi kila siku kabla ya parade...Kitu muhimu tulichokosa ilikuwa kiwanja kwaaajili ya michezo

Yaani ni hatari.....na ile lami iliyopigwa pale ukitereza lazima uumie.
 
Habari yenu wanaJF,

Kama kuna wanaJF waliosoma shule ya msingi Forodhani na kumaliza 1992 au 1993 tujulishane.Nakumbuka mwalimu alikuwa mwalimu Mbuya,kuna baadhi ya walimu kama mwalimu Julius dah huyu alikuwa anachapa bakora hatari.

Kulikua na mwalimu James huyu alikuwa kama bondia,mwalimu Manyama, mwalimu Matata hao ni baadhi ya maticha tu.

Kitu kingine nachokumbuka ni ile mihogo ya kule baharini mnaikumbuka? Kingine ninachokumbuka tulikuwa tunafanya somo la ushonaji kulikuwa na sista mmoja wa kijerumani mfupi alikuwa mkali kama pilipili.

Hapo shuleni hapo kila Jumatano au Ijumaaa ilikuwa inakuja gari la matunda tunajisevia.

Elimu ilikua bora ada ilikua chini.Nakumbuka hadi huyu mtoto wa mkulu sasa hivi mwenye mambo mengi tulikuwa naye hapo shule.

Kwa kusema ukweli naikumbuka sana Forodhani shule ya msingi, kingine nachokumbuka wapinzani wetu wakuu walikuwa bunge shule ya msingi.

Kuna wanafunzi kama Alex Kitomari (RIP),Walter Mazula (RIP) na wengine baadhi yao wako mpaka leo.

Kama ulisoma hapo changia kumbukumbuku zako na wewe.

Naimis shule hiyo...never be the same again.

Natanguliza salamu.

What

Alex kitomari amefariki when??
Cc:mugima nyamasagala
 
Namkumbuka mwalimu Ngido,Msaki,Asha,Kayombo,Kimathi (a.k.a mama Kelvin)
Juice kwa cha upepo pale karibia na geti....siku ya dini jtano tunaelekea st joseph,Sambusa za caritas nazo we acha.
Jamani mwalimu mushi yupo???

He kumbe nanwewe ni member wabforinino jamani Alex kafalini namkumbuka dadake vik
 
Nimefurahi sana hiithread mi nilimaliza 1993

Jamani sisi kimathi yuko wapi

Cc fina

Popote ulipo
 
Gloria mbuya jamani yuko wapi ninemmiss sana


cc
anthony mbuya

cc ::peter pakata
 
Namkumbuka mwalimu Ngido,Msaki,Asha,Kayombo,Kimathi (a.k.a mama Kelvin)
Juice kwa cha upepo pale karibia na geti....siku ya dini jtano tunaelekea st joseph,Sambusa za caritas nazo we acha.
Jamani mwalimu mushi yupo???

Mwalimu matata mlimkuta?
 
Back
Top Bottom