Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Marahabaa kijana wangu

vijana mliokuwa mkisoma wakati Mwl Fadhili Saiwad akiwa mkuu wa shule mna taarifa kuwa amefariki?
hapana mkuu!!!toka lini hatunae tena?
Mungu amlaze pema mwal Saiwad
 
Haya nawe ujue una wakubwa wako sisi wa std 7 (1973) Mwalimu wetu Mkuu alikuwa Mrs Simkoko hebu waje hapa Mpeli Nsekela,Grace Mushi,Richard kusiga,Nuru Omari,Eva saidi,Joyce Mwombela,Regina Mariale,Tirio Mango,Samuel Milinga,Rosemary Nyerere,Mwinyi Mangara,Veneranda Luhanga,Princely Muro,Humphrey Omary,hawa wengine nawakumbuka kwa jina moja nao ni Parkimelo,Patrick (alikuwa anaishi kigamboni),Ndunguru,Generoza, Philomena na mwisho kulikuwa na wachina walikuwa wanaishi keko majina nimewasahau.

haya mpo hapo!

sasa nawewe chamtoto tuliosoma hapo 1965 tupo kimya. Ila nachokumbuka kipindi hcho tulikuwa tunakula mihogo na samaki wa pale feri posta ya zamani. Kipindi hicho ilikuwa raha sana
 
sasa nawewe chamtoto tuliosoma hapo 1965 tupo kimya. Ila nachokumbuka kipindi hcho tulikuwa tunakula mihogo na samaki wa pale feri posta ya zamani. Kipindi hicho ilikuwa raha sana

Mkuu Deo bado sikuamini naomba utaje jina moja la mwanafunzi uliyesoma nae hapo miaka hiyo pamoja na mwalimu yoyote unae mkumbuka.
Mihogo na kaukau zilikuwa vinauzwa mbele ya geti la kuiingilia shule.
 
Ipo.

Na wafanyakazi ni wale wale wa zamani ila wamezeeka tu kwa sasa. New comers ni wachache.

Kwi kwi kwi teh teh teh


Daresalaam hii kuna watu hawaijui hiyo ice cream ya karanga
kama ambavyo hawajui Dar hii zamani UDA walikuwa na tiketi za mwezi
au Dar kulikuwa na Drive inn cinema

watu wanaenda Ulaya wanavikuta huko wanafikiri vipya

cc Honey Faith Nyani Ngabu miss strong
 
Last edited by a moderator:
Daresalaam hii kuna watu hawaijui hiyo ice cream ya karanga
kama ambavyo hawajui Dar hii zamani UDA walikuwa na tiketi za mwezi
au Dar kulikuwa na Drive inn cinema

watu wanaenda Ulaya wanavikuta huko wanafikiri vipya

cc Honey Faith Nyani Ngabu miss strong

Usikute hata mtaa wa Independence hawaujui. Wanaweza wakakesha wanakubishia huo mtaa haujawahi kuwepo.

Ukiwaambia habari za soko la maTX wanaweza wakakuona we mzushi tu.

Habari za mashirika ya umma na taasisi za serikali kuwa na daycare zao zinaweza zikawa ni habari mpya kabisa kwao.

Ukiongelea mambo ya kula bata hotel ya Bush Trekker ndo kabisa watakuona we wakuja.

Ukikumbushia askrimu na mikate ya Bakhresa wao wanakuuliza mambo ya Azam.

Kampuni za Kajima na Konoike au hata MECCO tu kwao huenda ni usiku wa kiza!

Dar ina wenyewe hii bana......
 
Usikute hata mtaa wa Independence hawaujui. Wanaweza wakakesha wanakubishia huo mtaa haujawahi kuwepo.

Ukiwaambia habari za soko la maTX wanaweza wakakuona we mzushi tu.

Habari za mashirika ya umma na taasisi za serikali kuwa na daycare zao zinaweza zikawa ni habari mpya kabisa kwao.

Ukiongelea mambo ya kula bata hotel ya Bush Trekker ndo kabisa watakuona we wakuja.

Ukikumbushia askrimu na mikate ya Bakhresa wao wanakuuliza mambo ya Azam.

Kampuni za Kajima na Konoike au hata MECCO tu kwao huenda ni usiku wa kiza!

Dar ina wenyewe hii bana......

Hahaa ndi ilivyo
watu wanajua mlimani city na quality plaza ukiwauliza empire na starlight....wanakushangaa
 
Hahaa ndi ilivyo
watu wanajua mlimani city na quality plaza ukiwauliza empire na starlight....wanakushangaa

Au New Chox na Empress....

Unaikumbuka Empire video store?

Halafu kuna video store moja hivi ilikuwepo mitaa ya Upanga....ilikuwa inawahi sana kuzipata movie kalikali.

Jina tu limenitoka....
 
Au New Chox na Empress....

Unaikumbuka Empire video store?

Halafu kuna video store moja hivi ilikuwepo mitaa ya Upanga....ilikuwa inawahi sana kuzipata movie kalikali.

Jina tu limenitoka....


Nazikumbuka zote Odeon na New chox...hiyo ya upanga pia nimesahau jina..
back in the days.....mimi huwa nalikumbuka yale majengo ya zamani ya Samora
ilio J M Mall now.....yaani dah...
 
Nazikumbuka zote Odeon na New chox...hiyo ya upanga pia nimesahau jina..
back in the days.....mimi huwa nalikumbuka yale majengo ya zamani ya Samora
ilio J M Mall now.....yaani dah...

Boss hapo J M Mall palikuwa na majengo na maarufu sana Lehmann's ila mbona Avalon cinema umeisahau?,hebu nikupe homework kidogo, niambie kulikuwa na ice cream shop hapo Avalon cinema unaikumbuka ilikuwa inaitwaje?
 
Boss hapo J M Mall palikuwa na majengo na maarufu sana Lehmann's ila mbona Avalon cinema umeisahau?,hebu nikupe homework kidogo, niambie kulikuwa na ice cream shop hapo Avalon cinema unaikumbuka ilikuwa inaitwaje?

Yap Lehman's
nikumbushe ya avalon...avalon ndio ilikuwa last cinema
 
Haya nawe ujue una wakubwa wako sisi wa std 7 (1973) Mwalimu wetu Mkuu alikuwa Mrs Simkoko hebu waje hapa Mpeli Nsekela,Grace Mushi,Richard kusiga,Nuru Omari,Eva saidi,Joyce Mwombela,Regina Mariale,Tirio Mango,Samuel Milinga,Rosemary Nyerere,Mwinyi Mangara,Veneranda Luhanga,Princely Muro,Humphrey Omary,hawa wengine nawakumbuka kwa jina moja nao ni Parkimelo,Patrick (alikuwa anaishi kigamboni),Ndunguru,Generoza, Philomena na mwisho kulikuwa na wachina walikuwa wanaishi keko majina nimewasahau.

haya mpo hapo!

Nimekumbuka yule Mchina wa keko alikuwa anaitwa winipeg kwakuwa alikuwa mchina alikuwa anajiona kama Bruce Lee!
 
Haya nawe ujue una wakubwa wako sisi wa std 7 (1973) Mwalimu wetu Mkuu alikuwa Mrs Simkoko hebu waje hapa Mpeli Nsekela,Grace Mushi,Richard kusiga,Nuru Omari,Eva saidi,Joyce Mwombela,Regina Mariale,Tirio Mango,Samuel Milinga,Rosemary Nyerere,Mwinyi Mangara,Veneranda Luhanga,Princely Muro,Humphrey Omary,hawa wengine nawakumbuka kwa jina moja nao ni Parkimelo,Patrick (alikuwa anaishi kigamboni),Ndunguru,Generoza, Philomena na mwisho kulikuwa na wachina walikuwa wanaishi keko majina nimewasahau.

haya mpo hapo!
Huyu Princely Muro alijinyonga ktk garage huku USA,miaka ka mitano iliyopita
 
Back
Top Bottom