Hivi mnamkumbuka Alice lobo YULE muhindi mjinga darasani anahonga afanyiwe hesabu.Hamza juma kwa mademu tobaaa.Sada shaha,Kerin chonya,Martha mpangile,Clara ,lilian tairo,salama Mohamed ,modi Gaye ,kiyeyeu mwakawago,Ahmed Elmaamry ,Emma kiando.
Insha Allah Amiin, ni kweli Mwl wenu alipata stroke then the condition didn't get better mpaka anafariki
Jamanii Saiwaad amefariki kumbe.....may Allah rest his soul in eternal peace,alikuwa handsome wa ukweli
Salamander jeUsilolijuwa ni usiku wa kiza.
Hivi wewe unafikiri mie ni mwenzako eeh?
Dar ina wenyewe hii, wewe wakuja tu.
Hivi mnamkumbuka Alice lobo YULE muhindi mjinga darasani anahonga afanyiwe hesabu.Hamza juma kwa mademu tobaaa.Sada shaha,Kerin chonya,Martha mpangile,Clara ,lilian tairo,salama Mohamed ,modi Gaye ,kiyeyeu mwakawago,Ahmed Elmaamry ,Emma kiando.
Umemaliza mwaka gani mkuu?
1989 nakina sasa shaha Martha mpangile,Kerin chonya
Gloria mbuya jamani yuko wapi ninemmiss sana
cc
anthony mbuya
cc :😛eter pakata
Mwajuma choggy yupo wapi?
waw unakumbukumbu balaaMna kumbukumbu nzuri sana. Mimi nilimaliza std 7A hapo mwaka 1988. Ngoja nione km nami nitakumbuka japo wachache. Tulikuwa na Uno Tarimo (RIP) Lenguyana leandri, Albogast Njuu, Ngao Sambera (RIP) Laurian Thadeus , Irene Noa, Tina Riwa, John Riwa, Esuvat Molel na twin wake Nengai (B), Hilda Karau,Joyce Matumula, Milen Ringo, Goa digalo, Hamza Juma, Hidaya (mtoto wa mwl Mohamed) Neema, Jane Panja, Pamela charles, Edward Chelangwa, Bhoke Matiku.
wengine wa madarasa mengine; Nengai king'ori, Wito Shelukindo, Norma Mushema, Ahmed Elmaamary, Sioi Solomon( huyu ndo kaoa binti Lowasa) Rogate Matumla(1986) Sumitra, Japhet Kirita, Carol Kirita, Lulu January . Hao baadhi ya wanafunzi nawakumbuka.
Sr. Edigara ametusaidia sn kushona kwakweli, mwl JJ masiga, mwl Tarimo, Msaki, Barongo(RIP) , Mama Mbuya. Yote tisa kumi ni Pale tulipokuwa tunapangwa barabarani wanapokuja viongozi wageni. Au tulupokuwa tunasikia ving'ora vya magari yanayopitisha watuhumiwa wa kesi ya uhaini tulikua tunavisikia sn. Pia kulikua na mambo ya chipukizi, kina Denis Tairo km sikosei walikuwa viongozi. Ile school band ndo usiseme. Mwaka 1984 nakumbuka tulikua tunapewa maziwa , yaani ilikua raha tupu kwakweli.
Jamani shikamooni humu kumbe kuna watu tunawakosea adabu wameenda age namna hii? Kuna mdau hapo kamaliza standard 7 mwaka 1988!
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app



Da mapela ya maziwa dada yang mwajuma choggy alikuwa akiniletea yalikuwa matamu hatareeHahahaha sunvita .mapera maziwa mwalim Mchala lol
Huyu nilisoma naye Advance na chuo,ni wakili msomi hapa DSm.Limekuwa bongeeeMwajuma choggy yupo wapi?