mgosani
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,004
- 1,138
Nimekumbuka yule Mchina wa keko alikuwa anaitwa winipeg kwakuwa alikuwa mchina alikuwa anajiona kama Bruce Lee!
Nimemkumbuka mwanafuzi mwingine tulikuwanae Augustino Mandara
Nimekumbuka yule Mchina wa keko alikuwa anaitwa winipeg kwakuwa alikuwa mchina alikuwa anajiona kama Bruce Lee!
Daah! ingawa hii thread ni ya siku nyingi lakini imenikumbusha mambo mengi mazuri those days
Kwa tuliosoma Bunge p/s from 1986 - 1992, sure Moses Sarakikya alikuwa mtata, lakini alikuwa yuko vizuri kwenye somo la English nakumbuka, though
kuna wengine waliokuwa vizuri kichwani kina Harrieth Lumbanga, vipaji vya soka akina Renatus Njohole, kuwataja wachache.
Mwalimu mkuu wakati huo alikuwa Mama Masasi, msaidizi wake Mama Msafiri.
Watoto tuliokuwa tunaishi Magomeni mapipa na Mwembechai ilikuwa tukitoka shule tu, kabla ya kwenda posta mpya kupanda maikarus yetu, tunazama jengo la kitegauchumi pale, kipindi hicho ndio jengo refu kuliko yote, chezea lift sana, bonyeza vitufe mpaka ghorofa ya ngapi sijui, ilimradi siku hiyo upande lift, dah utoto wa enzi zile.
Ni jambo zuri sana kukumbuka mambo ya utotoni.
Big up sana kwa wote waliosoma Bunge wakati huo, Big up JF members kwa kuleta kumbukumbu hizi.
Daah! kumbe Salehe alifariki? Apumzike mahali pema
Nazikumbuka zote Odeon na New chox...hiyo ya upanga pia nimesahau jina..
back in the days.....mimi huwa nalikumbuka yale majengo ya zamani ya Samora
ilio J M Mall now.....yaani dah...
Sijui na ile ice cream yao ya karanga kama bado ipo...[/QUOTE
Boss hapo snow cream walikuwa na ice cream nizipendazo mimi
1.Banana split
2.Pineapple sundae
Mmenikumbusha the good old days
Snow cream imehamia mtaa wa jamhuri ila nahisi ice cream zao si tamu tena kama za enzi hizo, nimekula juzijuzi tu hapa hamna kitu
Salehe ali RIP lini?
Mwl Masasi na Msafiri wako wapi siku hizi? Nimekumbuka mbali sana
Mkuu Stwita, kwa kweli sina taarifa za hawa Wakuu @ those days.
Nakumbuka walimu kama Mwl. Kisebengo, Mwl. Makwega, Mwl. Gowele, Mwl. Teddy (she was cute though)..to mention a few.
Dah, time flies! We r not getting any younger
Dah. Kisebengo alifanya niichukie hesabu kwa maneno yake mabaya.
Nimekumbuka yule Mchina wa keko alikuwa anaitwa winipeg kwakuwa alikuwa mchina alikuwa anajiona kama Bruce Lee!
Marahabaa kijana wangu
vijana mliokuwa mkisoma wakati Mwl Fadhili Saiwad akiwa mkuu wa shule mna taarifa kuwa amefariki?
dah ama kweli sote tunapita.. mwlm Saiwadi alikua mwalimu mkuu wangu kabla ya mama Chuma... Niliwahi muona mwaka jana hakua kama mwlm Saiwad niliewahi mfahamu.. Dah Mungu amrehemu kwa kweli..
Ndio namkumbuka lily,je hao wote 20 umewapataje Ndugu au kuna mtandao wa wasap mmeutengeneza mnaonana uko ee
Afu mkuu spider una kumbukumbu kweli mtu wangu hongera mi wengine nimewasahau kwa majina ila ww unawakumbuka mpaka ubini wao umetisha sana mkuu ha ha haa
Ly mwaka gn?
Snow cream imehamia mtaa wa jamhuri ila nahisi ice cream zao si tamu tena kama za enzi hizo, nimekula juzijuzi tu hapa hamna kitu
Stwita snow cream ipo mtaa wa jamhuri eneo gani nahitaji kwenda kukumbuka ujana wangu, lol lol
Stwita snow cream ipo mtaa wa jamhuri eneo gani nahitaji kwenda kukumbuka ujana wangu, lol lol
Ipo kwenye uchochoro fulani opp na bank ya NBC. Ukifika maeneo hayo unaomba mtu akuelekeze.
mwalimu asenga yupo usa nilikutana na doha airport anasubiri connection ya usa. ni mzuri yule ticha sana