Jembe Moses Sarakikya............hahahahhah acha kabisa habari za huyo jamaa ni balaa alikuwa those days
Daah! ingawa hii thread ni ya siku nyingi lakini imenikumbusha mambo mengi mazuri those days
Kwa tuliosoma Bunge p/s from 1986 - 1992, sure Moses Sarakikya alikuwa mtata, lakini alikuwa yuko vizuri kwenye somo la English nakumbuka, though
kuna wengine waliokuwa vizuri kichwani kina Harrieth Lumbanga, vipaji vya soka akina Renatus Njohole, kuwataja wachache.
Mwalimu mkuu wakati huo alikuwa Mama Masasi, msaidizi wake Mama Msafiri.
Watoto tuliokuwa tunaishi Magomeni mapipa na Mwembechai ilikuwa tukitoka shule tu, kabla ya kwenda posta mpya kupanda maikarus yetu, tunazama jengo la kitegauchumi pale, kipindi hicho ndio jengo refu kuliko yote, chezea lift sana, bonyeza vitufe mpaka ghorofa ya ngapi sijui, ilimradi siku hiyo upande lift, dah utoto wa enzi zile.
Ni jambo zuri sana kukumbuka mambo ya utotoni.
Big up sana kwa wote waliosoma Bunge wakati huo, Big up JF members kwa kuleta kumbukumbu hizi.
Yes class 1988
hahaha..dah!rose n paul luena nilikuwa nao darasa moja toka la kwanza.wapi maulid ally,bohora,aman peter,peter malunda,joymaria mazura,emy francis,noel shiyo.dah!mwal onike,kalabo,mushi,chuma
Bunge ilikua Kiboko yao,hakuna forodhan,olympio,kisutu wala muhimbil,mambo yote yalikua site senta,wakishua mixa wauswaz ilikua balaaa.Rest in Paradise brother Salehe Gate Keeper)
Aka Mrs..........
View attachment 174676 tujikumbushe na kapicha pia
Wooow..hii thread... Mimi nilimaliza 1994. Mwalimu Mbuya, Mwalimu Kalabo, Mwalimu Matata (huyu mtoto wake tulikua nae darasa moja Hussein Matata sijui yuko wapi) Mwalimu Nyalika (mtoto wake Titus Nyalika tulikua nae)
Yule mwalimu mremboo alikua anatokaga na Mwalimu Fadhili nafikiri alikua anitwa Mwl Nasseri alikua mrembo kweli na kalikiti yake.
All in all that school was one of the best public schools in Dar. Wale masista wa kijerumani au kitaliano walitufundisha kushona, nakumbuka darasa la sita tulishona sketi, na la saba tukashona gauni.
Nawakumbuka pia Salama Kikwete, Baraka Shelukindo, Francis Ndamagi,Titus Nyalika, Vincent Kigosi,Dorcas Kaboyoka, Juliana and Phoebe Machuve, Mina Riwa, Jacquiline Rubambe, Caroline Mbelwa, Togolani Mavula
Bado yupo???daaah nahis walimu wengine watakuwa wizaran sasa hv.Kulikuwa kuna mwalimu ana mashauz huyo hatar anaiwa Assenga.Ni shidaaaa ilikuwa
Habari yenu wanaJF,
Kama kuna wanaJF waliosoma shule ya msingi Forodhani na kumaliza 1992 au 1993 tujulishane.Nakumbuka mwalimu alikuwa mwalimu Mbuya,kuna baadhi ya walimu kama mwalimu Julius dah huyu alikuwa anachapa bakora hatari.
Kulikua na mwalimu James huyu alikuwa kama bondia,mwalimu Manyama, mwalimu Matata hao ni baadhi ya maticha tu.
Kitu kingine nachokumbuka ni ile mihogo ya kule baharini mnaikumbuka? Kingine ninachokumbuka tulikuwa tunafanya somo la ushonaji kulikuwa na sista mmoja wa kijerumani mfupi alikuwa mkali kama pilipili.
Hapo shuleni hapo kila Jumatano au Ijumaaa ilikuwa inakuja gari la matunda tunajisevia.
Elimu ilikua bora ada ilikua chini.Nakumbuka hadi huyu mtoto wa mkulu sasa hivi mwenye mambo mengi tulikuwa naye hapo shule.
Kwa kusema ukweli naikumbuka sana Forodhani shule ya msingi, kingine nachokumbuka wapinzani wetu wakuu walikuwa bunge shule ya msingi.
Kuna wanafunzi kama Alex Kitomari (RIP),Walter Mazula (RIP) na wengine baadhi yao wako mpaka leo.
Kama ulisoma hapo changia kumbukumbuku zako na wewe.
Naimis shule hiyo...never be the same again.
Natanguliza salamu.
mnaikumbukaaa elimu supplies pale nyumaa ya shule kulikuwa na vitabu vingi na tofauti ilitusaidia sana.
dahh kweli Forodhani tuko wengi.
Lifti za TTCL nimezibembea sana, nimeiba sana penseli kule Tahafif, Masoud tumemuibia sana.