Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

NIKO MSIBANI

MPAKA RAHA jamaa anapaka watu walaiohai acheni dhambi jamani
Kuweni makini na maisha ya Leo
 
haya mna mkumbuka joseph rubambe ila huyu yuko dar....
 
kama sikosei wale walienda canada long time walipo maliza shule ya msingi wakasepa....

Wallirudi mwaya jama wakachukua jumla

Cc:Mugima NYAMASAGALA

Kuna. Dada mmoja walimpigaga mande mfupimweupe mnamkumbuka
Dah aliyajua mambomapemakwelli
 
Ahaaaa jamani mmenikumbusha mbaaali sana mwalm kimath na mwalim matata nawakumbuka sana afu kuna mwalim wa kiingereza anaitwa jina la mwisho tu ndo nalikumbuka 'nyalika' cjui pia km niko sahihi ila huyu teacher niliwahi kumuona wkt nikiwa chuo pale UDSM naona baadae aliamua kujiendeleza kielim

Mi nilimaliza forodhani p/s mwaka 1999 ila nakumbuka mambo mengi sana na yakufurahisha like chips dume na sanvita ndo nilikuwa navifikiria sana mara tu ifikapo break lol time to remember

Mie mwenyewe LY 99 pale forodhani....itakuwa nakujua wewee
 
uwiiii...wapi teacher mkuu Fadhili Saiwadi.
wapi Mangi muuza chipsi, wapi babu jinga na ice cream zake., Masoud wa pipi.
wapi teacher Mwalongo, teacher Kimath, Chuma, Jamani mwl James amefariki???!!!!!! R.i.p
CC: Natalia

Sunvita nazikumbukaje.
Jamani Snow cream.....karibu na Tahfif

huyu saiwadi yupo tu kimara,ni mgonjwa sasa na ameanza kupoteza kumbukumbu.
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa mzuri yule.mwalimu mkuu, kwa kuwa ni kizazi kile, ingekuwa kizazi hiki, angewachapa sana wanafunzi

we ulikuwa A au B?huyo umesema utakuwa unamfaham me namfaham.maana katumia initial ya jina lake mwanzo.
 
bado yupo na uzuri wake' japo kuumwa ndo kumemfanya achoke.

Aiseeer.....pole yake.Na kweli huenda anaumwa coz kama miaka 2 nyuma nilikuwa naenda pale jengo la Anatouglo pale mnaz mmoja kulikuwa na semina ya wajasiriamali nikamuona yupo na katoto ka kiume amevalia sare ya shule.Sikumshtua coz ingenichukua muda kukumbushana na nilikua na wahi semina
 
Alikuwa mzuri yule.mwalimu mkuu, kwa kuwa ni kizazi kile, ingekuwa kizazi hiki, angewachapa sana wanafunzi

Sanaaa maana ule uweupe wake,mwili wake,uSmart wake si mchezo huenda walimu wa kike kama kina Assenga walichezea.
 
Back
Top Bottom