Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Saaana yaani sijui kwa sasa kinapatikana wapi jamani material kama hizo?...pensi za blue kushonwa na masista...kile kitambaa kilikuwa matata sanaaa
Saaana yaani sijui kwa sasa kinapatikana wapi jamani material kama hizo?...pensi za blue kushonwa na masista...kile kitambaa kilikuwa matata sanaaa
Kumbe Forodhani tuko wengi humu tuliomaliza la saba 1993....!
Wallirudi mwaya jama wakachukua jumla
Cc:Mugima NYAMASAGALA
Kuna. Dada mmoja walimpigaga mande mfupimweupe mnamkumbuka
Dah aliyajua mambomapemakwelli
kuna jamaa mmoja alikuwa anasoma bunge anaitwa moses alikywa bishoo alikua anawafata madem forodhani alikuwa anakaa ada estate kino....utakua unampataMimi nilimaliza Bunge, ila nilikuwa na marafiki "Foro" wakina Rizmoko, Peter Mzuka anaishi USA, Mvumo, Walter nk.
Huyo demu alikuwa sekondarijina Salma Me....... Mama yake ni former Finance Minister
nime msahau huyu dada jaqline ntabaile tulikuwa naye naye forodhan ......
kuna jamaa mmoja alikuwa anasoma bunge anaitwa moses alikywa bishoo alikua anawafata madem forodhani alikuwa anakaa ada estate kino....utakua unampata
Saaana yaani sijui kwa sasa kinapatikana wapi jamani material kama hizo?
Jembe Moses Sarakikya............hahahahhah acha kabisa habari za huyo jamaa ni balaa alikuwa those days
Yap lakini amerudi bongo he is family man siku hizi naona amekua......ila sijaonana nae kitambo ila ni dealer wa magari kama sikosei kwa sasa
Mimi nilimaliza Bunge, ila nilikuwa na marafiki "Foro" wakina Rizmoko, Peter Mzuka anaishi USA, Mvumo, Walter nk.
Huyo demu alikuwa sekondarijina Salma Me....... Mama yake ni former Finance Minister
kuna wakati aliendaga ulaya baada ya kumaliza la saba, jamaa walimfunga sijui alibaka dem huko jama mikasa yake ni madem tu
yap ni Adopted parent wake,