miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
ni.mmama lakini mrembo sana alikuwa na mumewe. yaelekea mumewe ana pesa maana alikuwa anaelekea lounge ya business class
Duuuhh ujue tuliosoma forodhani tupo wengi aiseee
ni.mmama lakini mrembo sana alikuwa na mumewe. yaelekea mumewe ana pesa maana alikuwa anaelekea lounge ya business class
Mbazigwa Hassan?Long time aisee...
Mnamkumbuka Mwalimu Mbazigwa?
Long time aisee...
Mnamkumbuka Mwalimu Mbazigwa?
Long time aisee...
Mnamkumbuka Mwalimu Mbazigwa?
Hahahaha sunvita .mapera maziwa mwalim Mchala lol
Mbazigwa Hassan?
Aisee una kumbukumbu nzuri! Nilishamsahau mwl. Mchala. Mapera maziwa, hivi kwa kiingereza yanaitwaje? sijawahi kuyala tena toka nimalize Forodhani late 80's.
Sr. Edgara jamani, akikasirika alikuwa anaongea kikwao....nilikuwa nafurahia sana kwenda kule juu kushona.
Mwl. Tarimo nae alikuwa anafundisha Sayansi Kimu, tunaenda jikoni kujifunza kupika. Nakumbuka siku tulipika Sambusa....
Mw.Mohamed, she was my favorite teacher. Mwl wangu wa darasa nikiwa la nne, alikuwa anafundisha hesabu.
Mwl. Matata, ushepu balaa. Akigeuka kuandika ubaoni ni shidaaaa....alifundisha Kiswahili
Mwl. Bange, heasbu zimetulia pale.
Mwl. Nyalika, mwl wa English. Kuna siku nilikutana naye hazeeki......
Mwl. Nzige, Manyama, Shirima, Mbuya(RIP), Kauta, JJ, Msaki(mwl wangu darasa la kwanza), Sr. Kimathi, Mwalubandu, Barongo. dah, sitaisahau ile shule. Good memories kwa kweli....
Edgara.....aiseee mpaka leo naweza kushona shona
ni.mmama lakini mrembo sana alikuwa na mumewe. yaelekea mumewe ana pesa maana alikuwa anaelekea lounge ya business class
Mimi pia. sitamsahau kwa kweli.
Ha ha ha daaaah Umenikumbusha mbali sana.....
Alex kitomari alikufa lini?
Me sijasoma enzi za huyo mtu.Sisi ndo wanafunzi wa darasa la saba wa mwisho then shule ndo ikarudishwa kwa kanisa....Nilisoma na walee wakina Ndege
Na Mwalimu nzige je?
hahahaha sunvita .mapera maziwa mwalim mchala lol
Pdidy kina neema na rehema wapo. Wapi?