hahaha..dah!rose n paul luena nilikuwa nao darasa moja toka la kwanza.wapi maulid ally,bohora,aman peter,peter malunda,joymaria mazura,emy francis,noel shiyo.dah!mwal onike,kalabo,mushi,chuma
Nilichowapenda nje yayote
yaani tukikutana tunajuana ila kwa haya majina humu jf hata mama akifufuka simjui hata mmoja na tuendelee hivihivi
Yupo sanaaa tu nimeshangaa yulejamaamuuza magazetinkwenyekona badoyupompakasasa
Cc ...
Jamani umenikumbusha mbali Mkuu, Maana ilikuwa eniglish medium school kati ya chache zilizouwepoo wengine tulisoma Forodhani Secondary na hilo jina St Joseph ndio lilikuwa jina lae la kabla ya uchukuliwa a sereali na bado I ikwa na ubora wake. Sare za shule zilikuwa zinatoka Italy. Walimu wakifundisha w moyo. Fursa sawa kwa wote! Mhhh jamani makiwa.
hahaha..dah!rose n paul luena nilikuwa nao darasa moja toka la kwanza.wapi maulid ally,bohora,aman peter,peter malunda,joymaria mazura,emy francis,noel shiyo.dah!mwal onike,kalabo,mushi,chuma
Mkuu mrangi
Kuna mmoja mamayakr alikuwa mwl mtoto anaitwa samwel unamkumbuka hope not rip
Enzi tuko darasa la 4 kuna mdada mmoja hivi ni Muasia alijisaidia darasani, tulimzomea sana, hadi teacher James (r.i.p) alitucharaza bakora.
Baada ya miaka mingi kupita, mwaka juzi nikakutana na huyo Muasia Arusha, tukaanza kukumbushana ya shule, tulicheka kama vichaa.
utoto jamani
Dah Mkuu spider
Na wewe ulichezea fimbo za JULIUS
NAAMINI WALIMU wengi walikufakutkana na maishaduni kulinganisha na walivtojitoa kwa wanafunzi kwa kweli
Sina cha kuwapa Mungu awape rehema zao
Ukowaliko
dahh kweli Forodhani tuko wengi.
Lifti za TTCL nimezibembea sana, nimeiba sana penseli kule Tahafif, Masoud tumemuibia sana.
Namkumbuka mwalimu Ngido,Msaki,Asha,Kayombo,Kimathi (a.k.a mama Kelvin)
Juice kwa cha upepo pale karibia na geti....siku ya dini jtano tunaelekea st joseph,Sambusa za caritas nazo we acha.
Jamani mwalimu mushi yupo???
samwel jina lina click hilo .....alafu kulikuwa na bonge la mwalimu sitomsahau siku zote alikuwa na upendo sana alikuwa ansitwa mwl ngongo
duh kwikwikwi
Ah! Kumbe na wewe ni mmoja kati ya W'funzi wangu?
Embu tujuane vizuri basi!
Mmmhhhh ndo ujue mie miss strong....
Afu W'funzi watukutu hata sikua nao (save boys)
Na sikumbuki kuwa na Miss Strong (i hope ni fake id!)
Basi kama vipi panga siku uje kunitembelea kabla sijaretire!