miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Mwalimu matata mlimkuta?
Ndio nilimkuta.....nikumbushe lakini ndo yule alikuwa mwalimu wakingereza anajifanya mkenya au yule mwl wa kiswahili alikuwa na mshepu.
Mwalimu matata mlimkuta?
Hivi snow cream bado ipo?ice cream za karanga nimezimiss
He kumbe nanwewe ni member wabforinino jamani Alex kafalini namkumbuka dadake vik
Yaani ni hatari.....na ile lami iliyopigwa pale ukitereza lazima uumie.
Hahahaha sunvita .mapera maziwa mwalim Mchala loluwiiii...wapi teacher mkuu Fadhili Saiwadi.
wapi Mangi muuza chipsi, wapi babu jinga na ice cream zake., Masoud wa pipi.
wapi teacher Mwalongo, teacher Kimath, Chuma, Jamani mwl James amefariki???!!!!!! R.i.p
CC: Natalia
Sunvita nazikumbukaje.
Jamani Snow cream.....karibu na Tahfif
Namkumbuka mwalimu Ngido,Msaki,Asha,Kayombo,Kimathi (a.k.a mama Kelvin)
Juice kwa cha upepo pale karibia na geti....siku ya dini jtano tunaelekea st joseph,Sambusa za caritas nazo we acha.
Jamani mwalimu mushi yupo???
Wa kiswahili mwenye shepu..anakaa upanga yule...Ndio nilimkuta.....nikumbushe lakini ndo yule alikuwa mwalimu wakingereza anajifanya mkenya au yule mwl wa kiswahili alikuwa na mshepu.
Sidhani kama ipo si ilikuwa inatazamana na ile bookshop ya st joseph.Nitakupa jibu nikienda pale California pub kunywa maji.
Sr kimati nilikuwa simpendi
Sr kimati nilikuwa simpendi
California pub ndo Florida Zamani?
Me sijasoma enzi za huyo mtu.Sisi ndo wanafunzi wa darasa la saba wa mwisho then shule ndo ikarudishwa kwa kanisa....Nilisoma na walee wakina Ndege
Wa kiswahili mwenye shepu..anakaa upanga yule...
nilimaliza mwaka mmoja mbele yako. unamkumbuka madam simon
Mamaaa shiriiiiimaaaaaaa
Cc::Bernard
Bado yupo???daaah nahis walimu wengine watakuwa wizaran sasa hv.Kulikuwa kuna mwalimu ana mashauz huyo hatar anaiwa Assenga.Ni shidaaaa ilikuwa
Me sijasoma enzi za huyo mtu.Sisi ndo wanafunzi wa darasa la saba wa mwisho then shule ndo ikarudishwa kwa kanisa....Nilisoma na walee wakina Ndege
we umemaliza na kina eva, janeth, noel saria, lipyoga etc?
mwalimu asenga yupo usa nilikutana na doha airport anasubiri connection ya usa. ni mzuri yule ticha sana
Atakuwa mtu mzima sasa.....kama si wenyewe tumekua hivi yeye atakuwaje???