Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

mwl julius huyo..ss mimi classmate wa asha.lol....team 2000 la saba

Ok....au pia mlimaliza na dada yake Kamari,walikuwa wahindi.Julius huyo basi alikuwa anapiga balaa na kale kamwili kake basi balaa.
 
Aisee kitambo sana how i wish one day tungefanya ikawa cku maalum ya kukutana wana forodhan woote aisee nahisi ningetokwa na machoz ya furaha

Aiseer nilishawahi kuPlan hiyo kitu na nikakutana kama na watu 10 hivi....ila tutafanya aiseee.Sisi ni familia moja
 
mwl julius huyo..ss mimi classmate wa asha.lol....team 2000 la saba

wewe na mimi tumemaliza mwaka mmoja. tunafanyaga re union sana. kwenye harusi ya edward tulikutana classmate kama 50 hivi. na juzi kwenye msiba wa mama yake mary lyimo wadau kibao walikuwepo.

tuna group la watsup na facebook linatuunganisha sama.

ni kama kikundi cha kusaidiana shida na raha.

kwenye wedding ya edward forodhan 2000 tulitoa zawad fridge mpyaaa kwa kuchanga wote

na kwenye msiba wa mama mary target kukusanya laki 8 rambi rambi yetu na bado zinakusanywa
 
Aiseer nilishawahi kuPlan hiyo kitu na nikakutana kama na watu 10 hivi....ila tutafanya aiseee.Sisi ni familia moja

nyinyi wa 2001 inabidi niwaunge re union ya 2000 muone mfano wa ushirikiano wa wakubwa zenu mwaka mmoja
 
Norma Mushema alifariki akiwa form 2 Kisutu girls,na Wito Shelukindo pia alifariki 2009 kama sikosei. May their souls RIP.

OMG... Yaani nilishasahau kama Norma alifariki, na nilikuwa naye Kisutu. Wito sikua na hakika sana ila nadhani nitakua nilipaya taarifa. Ni muda mrefu sana umepita jamani, 26 years si miaka michache. May their soul RIP.
 
Nyie wote cha mtoto. Tuulizeni sisi tuliomaliza 1977. Lakini leo mmenishangaza mwl Mbuya tulimuacha. Tulikuwa na mwi Kassam muhindi. Mwl Kagisa. Josnphne Mahiga. Waliomaliza mwaka huo na ambao wapo wajitaje. Kaka mkuu wakati huo aliitwa sostenes wa Musoma. Sister Edgara cooking na needle work. Sister Clara dini. Those good days
 
Aiseer nilishawahi kuPlan hiyo kitu na nikakutana kama na watu 10 hivi....ila tutafanya aiseee.Sisi ni familia moja

Kweli we Fanya afu tutaitangaza humu mbona tuko wengi sana tuu iyo itakuwa poa sana
 
Huyo mwlm Mushi sina ham nae nakumbuka alinicharaza viboko vingi siku moja eti kisa tulimcheka wkt tukiwa class lol sintoweza kisahau hili tukio aisee na kina Neema wote tulikula viboko matata

Sasa wewe huoni kwamba kumcheka Mwalimu ni utovu wa nidhamu?

Ungekua karibu ningekuchapa na kiboko cha mguu!
 
Ahaaaa jamani mmenikumbusha mbaaali sana mwalm kimath na mwalim matata nawakumbuka sana afu kuna mwalim wa kiingereza anaitwa jina la mwisho tu ndo nalikumbuka 'nyalika' cjui pia km niko sahihi ila huyu teacher niliwahi kumuona wkt nikiwa chuo pale UDSM naona baadae aliamua kujiendeleza kielim

Mi nilimaliza forodhani p/s mwaka 1999 ila nakumbuka mambo mengi sana na yakufurahisha like chips dume na sanvita ndo nilikuwa navifikiria sana mara tu ifikapo break lol time to remember

hahahahaha...nilipoteza namba yako wewe,utanipm,saiv natumia cmu.nnawacliana sana na mada na brother ake,hans irigo.dalali cjawacliana nae mda kidogo.na serapia
 
Ha ha ha a those good days . Sijaona mtu amemtaja mzee Mselemo Na kibanda chake cha mihogo, ndani ya eneo la shule.
Mwalimu Mmbazigwa nilikutana nae Na alikuwa anafanya Radio Tanzania kipindi cha miziki ya zamani, bado yuko vile vile
Nikamkumbusha Nyimbo zake
Vijana amkeni tujenge taifa.....
faida gani kutangatanga mjin.....
Mwisho ni wizi uporaji na unyang'anyi...
Nauliza mama nauliza yeye....
Imbichi mbichi ....imbichi mbichi taitai.....

Sijui Kama nimekumbuka vyem...

Yes mwalim Bange alikuwa mkali wa hesabu....Na watoto wake si walisoma hapo
Mwalim Nyalika wa English....


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Back
Top Bottom