Kuna anayemkumbuka yule baba alikuwa ana mguu mmoja amepiga kambi nje ya snow cream anaomba msaada? Baadae akawa anauza korosho. Kuna siku nilimkuta pale karibu na Imalaseko amepiga kambi, naona alihama baada ya snow cream kuisha umaarufu kama miaka 4 ilopita.
namkumbuka alikuwa na mguu wa bandia,sema wkt ule niwachache sana walikuwa wanakula ice snow cream...mm mpaka nikala kwa ukauzu
wewe na mimi tumemaliza mwaka mmoja. tunafanyaga re union sana. kwenye harusi ya edward tulikutana classmate kama 50 hivi. na juzi kwenye msiba wa mama yake mary lyimo wadau kibao walikuwepo.
tuna group la watsup na facebook linatuunganisha sama.
ni kama kikundi cha kusaidiana shida na raha.
kwenye wedding ya edward forodhan 2000 tulitoa zawad fridge mpyaaa kwa kuchanga wote
na kwenye msiba wa mama mary target kukusanya laki 8 rambi rambi yetu na bado zinakusanywa
yap,Assenga siwez kumsahau.kuna jamaa tulikuwa nae darasani hakuwa mpenda shule.mwal. Assenga alikuwa anamnunulia madaftali na kumkagua kila siku,nakumbuka alikuwa anaitwa Abdul.aliishia darasa la nne huyo jamaa kama sikosei.
Mie nimemaliza 1993 jamani
Mnamkumbuka mwalimu salma, mwalimu hatibu yy alikuja kitambo
wewe itakuwa ulimaliza na kina kabila,ndomondo,adam,kelvin na ndugu yake,na wengine sikumbuki vizuri majina yao.
Jamani shikamooni humu kumbe kuna watu tunawakosea adabu wameenda age namna hii? Kuna mdau hapo kamaliza standard 7 mwaka 1988!
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
huyo kabila alikuwa anaitwa michael shawa.