Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

Kwa waliosoma Forodhani shule ya msingi

dah hii kitu imenikumbusha mbali sana nakumbuka vipindi vya kwenda kushona kule juu kwa masista na chips za masoud
 
mwalimu vicky wa kiswahili alikuwa anachapa sana,kuna ticha alikuwa anaitwa assenga alinifundisha maarifa ya jamii alinipiga stick sana sababu ya ramani bila kumsahau julius
 
Masoud muuza pipi bado yupo mpaka January nilimuona dah alikuwa anapata tabu siku z kufunga shule wanafunzi lazima wabutue box lile
 
Chipsi za mangi asbh tu tukifika za shilingi hamsini dah wish I could turn back the time
 
uwiiii...wapi teacher mkuu Fadhili Saiwadi.
wapi Mangi muuza chipsi, wapi babu jinga na ice cream zake., Masoud wa pipi.
wapi teacher Mwalongo, teacher Kimath, Chuma, Jamani mwl James amefariki???!!!!!! R.i.p
CC: Natalia

Sunvita nazikumbukaje.
Jamani Snow cream.....karibu na Tahfif

Ahaaaa jamani mmenikumbusha mbaaali sana mwalm kimath na mwalim matata nawakumbuka sana afu kuna mwalim wa kiingereza anaitwa jina la mwisho tu ndo nalikumbuka 'nyalika' cjui pia km niko sahihi ila huyu teacher niliwahi kumuona wkt nikiwa chuo pale UDSM naona baadae aliamua kujiendeleza kielim

Mi nilimaliza forodhani p/s mwaka 1999 ila nakumbuka mambo mengi sana na yakufurahisha like chips dume na sanvita ndo nilikuwa navifikiria sana mara tu ifikapo break lol time to remember
 
Last edited by a moderator:
Bado yupo???daaah nahis walimu wengine watakuwa wizaran sasa hv.Kulikuwa kuna mwalimu ana mashauz huyo hatar anaiwa Assenga.Ni shidaaaa ilikuwa

Daaah hata mm uyo asenga kanifundisha kiingereza alikiwa anapenda kujiona mzuri hakunaga na akitembea anajitingisha yaani alikuwa anajidai cjawahi ona aisee
 
hahaha..dah!rose n paul luena nilikuwa nao darasa moja toka la kwanza.wapi maulid ally,bohora,aman peter,peter malunda,joymaria mazura,emy francis,noel shiyo.dah!mwal onike,kalabo,mushi,chuma
Mkuu basi mi pia ni class mate wako wengine hujawataja ni yule mzungu ana akili sana Max Magao,Lusiu peter, Fatima,Clara Furaha kitule ,Methew Mbaga etc
 
Mna kumbukumbu nzuri sana. Mimi nilimaliza std 7A hapo mwaka 1988. Ngoja nione km nami nitakumbuka japo wachache. Tulikuwa na Uno Tarimo (RIP) Lenguyana leandri, Albogast Njuu, Ngao Sambera (RIP) Laurian Thadeus , Irene Noa, Tina Riwa, John Riwa, Esuvat Molel na twin wake Nengai (B), Hilda Karau,Joyce Matumula, Milen Ringo, Goa digalo, Hamza Juma, Hidaya (mtoto wa mwl Mohamed) Neema, Jane Panja, Pamela charles, Edward Chelangwa, Bhoke Matiku.
wengine wa madarasa mengine; Nengai king'ori, Wito Shelukindo, Norma Mushema, Ahmed Elmaamary, Sioi Solomon( huyu ndo kaoa binti Lowasa) Rogate Matumla(1986) Sumitra, Japhet Kirita, Carol Kirita, Lulu January . Hao baadhi ya wanafunzi nawakumbuka.
Sr. Edigara ametusaidia sn kushona kwakweli, mwl JJ masiga, mwl Tarimo, Msaki, Barongo(RIP) , Mama Mbuya. Yote tisa kumi ni Pale tulipokuwa tunapangwa barabarani wanapokuja viongozi wageni. Au tulupokuwa tunasikia ving'ora vya magari yanayopitisha watuhumiwa wa kesi ya uhaini tulikua tunavisikia sn. Pia kulikua na mambo ya chipukizi, kina Denis Tairo km sikosei walikuwa viongozi. Ile school band ndo usiseme. Mwaka 1984 nakumbuka tulikua tunapewa maziwa , yaani ilikua raha tupu kwakweli.

Norma Mushema alifariki akiwa form 2 Kisutu girls,na Wito Shelukindo pia alifariki 2009 kama sikosei. May their souls RIP.
 
Kuna anayemkumbuka yule baba alikuwa ana mguu mmoja amepiga kambi nje ya snow cream anaomba msaada? Baadae akawa anauza korosho. Kuna siku nilimkuta pale karibu na Imalaseko amepiga kambi, naona alihama baada ya snow cream kuisha umaarufu kama miaka 4 ilopita.
 
Ah! Kumbe na wewe ni mmoja kati ya W'funzi wangu?

Embu tujuane vizuri basi!

Huyo mwlm Mushi sina ham nae nakumbuka alinicharaza viboko vingi siku moja eti kisa tulimcheka wkt tukiwa class lol sintoweza kisahau hili tukio aisee na kina Neema wote tulikula viboko matata
 
Nakumbuka msimu wa maembe saa ya kutoka unakuta wauza maembe wamepaki baiskeli nje ya geti, ni mwendo wa embe za kunyonya, au zilizomenywa na kuwekwa chumvi na pilipili, maembe ng'ong'o pamoja na mabungo. Dah, nimekumbuka mbali.

Pia tulikuwa tuna zamu za kusalisha ki-madarasa alhamisi tukiwa mstarini. Ngoja niikumbuke ile sala:
Ee Mungu,
Muumba wetu,
Tunakusalimu, Tunakuabudu
Tusaidie siku ya leo....
kuna anaeikumbuka yote?

MWalimu akiingia darasani, monitor ansema: "Heshima"
Then wote mnasimama na kumwamkia mwl. Nakumbuka darasa letu 7A tulikuwa tunasalamia hivi:
"Sisi vijana wa CCM,
Tuko tayari kujenga taifa letu,
Shkamoo mWalimu"
 
Bado yupo???daaah nahis walimu wengine watakuwa wizaran sasa hv.Kulikuwa kuna mwalimu ana mashauz huyo hatar anaiwa Assenga.Ni shidaaaa ilikuwa
hehe
duuuuh kumbe forodhani tuko wengi humu.....mwalimu asenga alikua anajifanya ana helaa htr..alikua anachapaaa..team kuchapa yeye mwalongo..julius...mwlm minja...nimemiss shingo na chips kwa mangi...ticha mkuu wetu saiwad bonge la handsome full gold...baadae akaingia chuma...najivunia kujua kushona...lol...daah forodhani weee..sitomsahau masudi kwa kuniozesha meno kwa michokoleti yake
 
Mi nimesoma class moja na Rose Luena hivi yuko wap hyu Rose alikuwa mtemi sana class japo mwanamke

Aiseee sijui yupo wapi....ingawa nilikutana nae Makongo.....wakati nipo form three yeye alikuwa ana risit mitihani
 
hehe
duuuuh kumbe forodhani tuko wengi humu.....mwalimu asenga alikua anajifanya ana helaa htr..alikua anachapaaa..team kuchapa yeye mwalongo..julius...mwlm minja...nimemiss shingo na chips kwa mangi...ticha mkuu wetu saiwad bonge la handsome full gold...baadae akaingia chuma...najivunia kujua kushona...lol...daah forodhani weee..sitomsahau masudi kwa kuniozesha meno kwa michokoleti yake

Daaaah sijui ni mwalongo au anaitwa nani....lakin kalikuwa ka kaka tu keusi karefu kanapua ndefu fulan.Ukimuona kama muhaya o mnyarwanda but alikuwa ana rafudhi kama anatokea kaskazin.Ana chapa balaa...mwalimu chuma alikuwa na mtoto wake kama madarasa 2 o 1 alinipita,alikuwa anaitwa Asha.
 
Aiseee sijui yupo wapi....ingawa nilikutana nae Makongo.....wakati nipo form three yeye alikuwa ana risit mitihani

Aisee kitambo sana how i wish one day tungefanya ikawa cku maalum ya kukutana wana forodhan woote aisee nahisi ningetokwa na machoz ya furaha
 
Daaaah sijui ni mwalongo au anaitwa nani....lakin kalikuwa ka kaka tu keusi karefu kanapua ndefu fulan.Ukimuona kama muhaya o mnyarwanda but alikuwa ana rafudhi kama anatokea kaskazin.Ana chapa balaa...mwalimu chuma alikuwa na mtoto wake kama madarasa 2 o 1 alinipita,alikuwa anaitwa Asha.
mwl julius huyo..ss mimi classmate wa asha.lol....team 2000 la saba
 
Back
Top Bottom